Ka edit chaaapAsante mkubwa 🤝
😅😅Asee Mimi nimechagua kubaki ndani.
Vita ya risasi Sina urafiki nayo.
Kama ikinifwata ndani au kwa kutekwa sawa Ila kuifuata big NO.
Watanganyika nwenzangu mtanisamehe katika hili.
Me bwana nilikuwa nimeshuka tu toka mkoa... Tuliachwa kibaha ikabidi tuunge na boda ile naingia mbez nakutana na barrier kibao Mungu ndo anajua nilifikaje kisarawe.Ila wajeshi wamesaidia kupunguza maafa, mkundu ndo katuangusha, vijana wake nao hawamtaki maza
Kila mtu apime nguvu yake kwakweli
Wapi tena? Sijauza code popote, kipindi cha maandamano nilikuwa huko, nimetoka nimerudi la mboto, maana gharama ya vitu huko imepanda kupitiliza, nyanya 1 buku, nyama kg 1, 20000 akaaa nani anatakaKa edit chaaap
Wanafiki ndo jina letu,, ila freshKila mtu apime nguvu yake kwakweli
Bado una maisha wengi wameuawa kwa namna hiyo ya safari, kuna binti alikuwa anatrend tiktok dreva wa malori nae si walimla shaba akielekea kwake, yani polisi walikuwa km wamepagawa,Me bwana nilikuwa nimeshuka tu toka mkoa... Tuliachwa kibaha ikabidi tuunge na boda ile naingia mbez nakutana na barrier kibao Mungu ndo anajua nilifikaje kisarawe.
Yani Yule msimamizi wao alikuwa anaongea vizuri na raia anawaasa kwa upendo. Sema alichokuwa a nakataa ni kupigwa picha.
Polisi walikuwa wamejaa kwenye gari 3 walikuwa wamenunaaa wamekunja uso wanwatamani raia sema ndo walikuwa wanasindikizwa na baka baka hawana Ujanja. Sasa wakisharudi tuu na kubaki pekeyao wanavyopiga mabomu na risasi hewanii
Ulipoweka mtaa wakoWapi tena? Sijauza code popote, kipindi cha maandamano nilikuwa huko, nimetoka nimerudi la mboto, maana gharama ya vitu huko imepanda kupitiliza, nyanya 1 buku, nyama kg 1, 20000 akaaa nani anataka
Naona ulinzi mkali umeimarishwa jijini dsm, kunani?🤷🏿♂️
NimerekebishaUlipoweka mtaa wako
Aisee!Me bwana nilikuwa nimeshuka tu toka mkoa... Tuliachwa kibaha ikabidi tuunge na boda ile naingia mbez nakutana na barrier kibao Mungu ndo anajua nilifikaje kisarawe.
Yani Yule msimamizi wao alikuwa anaongea vizuri na raia anawaasa kwa upendo. Sema alichokuwa a nakataa ni kupigwa picha.
Polisi walikuwa wamejaa kwenye gari 3 walikuwa wamenunaaa wamekunja uso wanwatamani raia sema ndo walikuwa wanasindikizwa na baka baka hawana Ujanja. Sasa wakisharudi tuu na kubaki pekeyao wanavyopiga mabomu na risasi hewanii
Namshukuru Mungu SanaBado una maisha wengi wameuawa kwa namna hiyo ya safari, kuna binti alikuwa anatrend tiktok dreva wa malori nae si walimla shaba akielekea kwake, yani polisi walikuwa km wamepagawa,
Aah kupita njia ya Makurunge eehAisee!
Ungejua ungejipitia zako Makurunge, nafikiri kule kulikuwa salama.
Mungu ni mwema u salama🙏🏽
Golani walijichanganya wakapita kufanya doria, mbona walikimbia na bunduki zao wakapita njia ya kwa Makofia ili watokee kinyerez, kufika kwa Makofia wakapita njia sio wakaingia mitaani zaidi, kuna ostadhi aliwaokoa kuwaonyesha njia wakageuza kurudi walipotoka, raia walishaanza kuwafungia njia ili wasitokeSaranga walipaogopa eeh
Alaf kule si pameungana na golani kwenye wahuni na vibaka walioshindikana
😂 mjini mipango aseeNimerekebisha
Japo nimepindisha, najua kuziishi nyakati,
Golani unaingilia njia ya suka upande wa kushoto kama unaenda Magufuli terminalHii golani ipo maeneo gani mkuu? Inaonekana panatisha.
Golani ni Darfur ya TanzaniaGolani walijichanganya wakapita kufanya doria, mbona walikimbia na bunduki zao wakapita njia ya kwa Makofia ili watokee kinyerez, kufika kwa Makofia wakapita njia sio wakaingia mitaani zaidi, kuna ostadhi aliwaokoa kuwaonyesha njia wakageuza kurudi walipotoka, raia walishaanza kuwafungia njia ili wasitoke
Bora niitwe mnafiki Ila kwakweli hapanaWanafiki ndo jina letu,, ila fresh
Ooh! Asante mkuu.Golani unaingilia njia ya suka upande wa kushoto kama unaenda Magufuli terminal