cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,679
- 4,271
Huenda akasikiliza naye ni binadam ujueChura kiziwi, ni sikio la kufa
Huenda akasikiliza naye ni binadam ujueChura kiziwi, ni sikio la kufa
Aisee, basi ni hatari.Golani usalama ni mdogo sana, kuna vibaka wengine wanatoka mbali wanakuja kupiga matukio uku halaf wanapotea
SanaaNi hatari kule,
Punguza kuwashwa washwa, nchi gani iliyo tulia akati watu na miili haonekani?.Mambo gani, acheni kuhamasisha watu nchi ishatulia.
Huwez beba hata DK moja weweDhambi zote za Max tupewe sisi wanaJF tunaoingia JF kipindi hiki kwa kutumia VPN!
Msamehe burePunguza kuwashwa washwa, nchi gani iliyo tulia akati watu na miili haonekani?.
vijana wana potezwa ka upepo, still you got guts za kusema hali ni shwari🤔
Jamii forums sikuhizi imejaa wajingaHuenda akasikiliza naye ni binadam ujue
Mbona wewe hujapotea?Punguza kuwashwa washwa, nchi gani iliyo tulia akati watu na miili haonekani?.
vijana wana potezwa ka upepo, still you got guts za kusema hali ni shwari🤔
Na Mjinga namba moja ni WEWE hapo ndo tufwatie wengineJamii forums sikuhizi imejaa wajinga
Ndio nimeamua kuwa mjinga ili niwe na amani, kila mtu akidai haki nchi itakalika?Na Mjinga namba moja ni WEWE hapo ndo tufwatie wengine
Wanasema hawakuwa watanzania kwani mna ndugu nje?Tupeni nafasi yakuzika ndugu zetu na rafiki zetu
Kututishia risasi hatuwezi kufuta machozi yetu
Ukiwa nankihere here kama wewe unapotea Tu. Nipo kariakoo hapa maisha yanenda kama kawaida na ninaishauri serikali. Kuwapoteza watu laki 1 si tatizo Kwa ustawi wa nchi yetu...nipo Mil 64Punguza kuwashwa washwa, nchi gani iliyo tulia akati watu na miili haonekani?.
vijana wana potezwa ka upepo, still you got guts za kusema hali ni shwari🤔
Kumbe hata hujasoma ukaelewa watu wanaongea nini. Sasa hapo Mjinga ni si ni wewe unauedandia mada. Hebu soma uelewe upunguze mihemkoNdio nimeamua kuwa mjinga ili niwe na amani, kila mtu akidai haki nchi itakalika?
Hawakuwa watanzaniaTupeni nafasi yakuzika ndugu zetu na rafiki zetu
Kututishia risasi hatuwezi kufuta machozi yetu
Jana mange amesema captain tesha yuko nje ya nchi uraiani. Akasema akiongea Sana ataharibu. Unahisi atakuwa anawaza nini?Kiukweli bora Kuwa na kikundi watu wawe na silaha pia
Docha hii ya baruti au?
Jana mange amesema captain tesha yuko nje ya nchi uraiani. Akasema akiongea Sana ataharibu. Unahisi atakuwa anawaza nini?