Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Mapongo wamepaki road na mzigo uko loaded kwenye chemba😂😂
 
You deserve em buda, halafu mabiti pelekea mbuzi labda ndio wata kuogopa.

Halafu Kama iq ingekuwa deal, sidhani kama ungekuwa chawa wa mwanaume mwenzio mf.

Achana na December 9, ka vipi hata kesho tukichafue.
Wenzako kabla ya Oct 29 walikuwa na shobo kama zako. Hivi sasa wako. Kimya. The way unavyoanfika itakuwa si mtanzania au utakuwa mental retard.
 
Gen z msisahau halotel inamilikiwa na kiwete mzee chekelea, muangalie namna ya kumtia hasara hapo km ni kutumia ipitishwe kampeni wateja wamuhame
Jamaniii, huyu Mzee nini ambacho hamiliki ktk nchi hii?
Kila kitu ni chake, nimeanza kuichukia halotel.
Aaaah
 
Jamaniii, huyu Mzee nini ambacho hamiliki ktk nchi hii?
Kila kitu ni chake, nimeanza kuichukia halotel.
Aaaah
Public inatakiwa kupoka vitu hivyo ili virudishwe serikalini.
Walanguzi na wanyang'anyi wote wafilisiwe

Zombi halishibi damu.
 
Sijui walahi! Naambiwa hapa kuna jambo lingetokea leo lakini limeahirishwa mpaka kesho huko Dar. Mliopo Dar mkae vizuri na mtujuze nini chaendelea huko.

Mambo yashafana. Hiyo miili mtaila nyama mbichi. Na bado.
Nilisema nitarejea leo jioni kukumbusha, hakuna kilichotokea. Wewe ni Muongo wa na bado
 
Majitu bad majinga sana, rusasi inapigwa yanaanza kukimbia hovyohovyo et yanashindwa hata kutake cover kulala Chini na kujificha yenyewe ni kukimbia tu ivi unambio za kuicha risasi kabla hujala ya kichongo
Tatizo mawatu haryana mafunzo
 
Hii mkuu itakuwa ni maandamano au vita?
Fita ni Fita Muraa ,kama mbwai iwe mbwai ,afile munu asigale munu ,show show ,kazi kazi! Gen Z walitoka mikono mitupu wamekula vyuma ,wasiokuwepo nao wamekula vyuma ,sasa solution ni kuingia kwenye battle field nao.
 
Fita ni Fita Muraa ,kama mbwai iwe mbwai ,afile munu asigale munu ,show show ,kazi kazi! Gen Z walitoka mikono mitupu wamekula vyuma ,wasiokuwepo nao wamekula vyuma ,sasa solution ni kuingia kwenye battle field nao.
Yaani unakula chuma na kuandamana hukuandamana aseee
 
Golan bado kuna watu wepesi.... Kuna Kona mbaya huko Matete ni hatari sana... Golan haifiki hata kwa Docha
Mkuu, nina shida ya vijana wawili watatu miongoni mwa hayo makundi, nina kashamba kangu nahitaji wanisaidie kupalilia.
 
Back
Top Bottom