Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Hahaha labda yeye ni kiziwi.
Temboni ndo anakaaa muliro, Kulikua na Mbiringe kubwa ka askari na Gen Z akafa askari 1 raia 4
Temboni ni kubwa tunayoijadili sisi sio hiyo ya barabara kuu, mfano mi ninapoishi waliingia mpaka huku mdani ndani kufyatua risasi juu bahati iliyo njema hakukuwa na watu kwenye hizo njia za kimtaa lakini hicho kitu hawakuweza kukifanya huko temboni kuingia mpaka huko ndani ndani
 
Tuko kwenye ibada ya kuwaombea pumziko la milele marehemu wote waliouwawa kipindi cha uchaguzi, uponyaji wa haraka kwa majeruhi na kwangu naongeza ombi la pigo takatifu kwa wale wote walioratibu na kutekeleza hayo mauaji.
 
Nawashauri tu msiiende kwenye maandamano mengine bila kujipanga ,hao KMKM wasieendewe kindezindezi ,kabla ya kuitisha maandamano inabidi kwanza mmiliki vyuma illegally.

Vyuma mtavipata burundi au congo ila kwenye mkakati wa kuvipata ,njia kuu ya mawasiliano ni whatsapp tu ,tena ikiwezekana nunua line ya kanyaboya zile zinazouzwa mtaani uisajili na whatsapp kisha itupe line ili isiweze kuwa traced maana TCRA kuna LIG ya kurecord mazungumzo na meseji za watu.

Then mkishakuwa na zana za kutosha kwa wananchi hapo ndiyo mulianzishe ,mkienda watupu hakika hawa jamaa(KMKM) watafanya mara mbili ya mwanzo ,vifo watavidabo ila mkijipanga na AK47 na AR15 mnawaokota maana wao wana SMG tu ambazo zinajam zikienda round nyingi.
Hii mkuu itakuwa ni maandamano au vita?
 
Huko huko kuna tuvichaka vichaka bado kwahiyo mtu akikuotea anakumaliza anakutupa mto saranga au kwenye vichaka hata kukuzika ndio sehemu watu wana maeneo makubwa ya kulima na kuvuna gunia la mahindi
Dadek palipoa kama sio dar...
Sass mbona goba nako ni kama temboni Ila palichafuka?
Tukisubiri rehema za Mungu tutachelewa, binafsi napenda amani lakini tulipofikia kuna raia walichukuliwa kutoka ndani, na wakauawa maana yake ni suala la muda tu hata mimi au wewe utachukuliwa kuuliwa, njia sahihi ni kufuatilia kumiliki chuma kinyume na sheria usiende mkono mtupu kwenye maandamano maana mkono mtupu haulambwi, na ukiwanacho usikiache kionekane kuna askari kanzu wenyewe huwa kazi yao kutoa taarifa kwa wadunguaji.
Hapo sawa
Ila Mambo ya Molotov hayana maajabu
 
Temboni ni kubwa tunayoijadili sisi sio hiyo ya barabara kuu, mfano mi ninapoishi (goba) waliingia mpaka huku mdani ndani kufyatua risasi juu bahati iliyo njema hakukuwa na watu kwenye hizo njia za kimtaa lakini hicho kitu hawakuweza kukifanya huko temboni kuingia mpaka huko ndani ndani

Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.
 
Temboni ni kubwa tunayoijadili sisi sio hiyo ya barabara kuu, mfano mi ninapoishi (goba) waliingia mpaka huku mdani ndani kufyatua risasi juu bahati iliyo njema hakukuwa na watu kwenye hizo njia za kimtaa lakini hicho kitu hawakuweza kukifanya huko temboni kuingia mpaka huko ndani ndani

Sawa, ila Tupunguze kuweka identifiers humu paka ni wengi sana 🙄
 
Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.

Mbezi magufuri kulikua na JWTZ block janja weed hawakufika, Na Polisi pia walikua na adabu
 
Back
Top Bottom