Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Hahaha labda yeye ni kiziwi.
Temboni ndo anakaaa muliro, Kulikua na Mbiringe kubwa ka askari na Gen Z akafa askari 1 raia 4
Temboni ni kubwa tunayoijadili sisi sio hiyo ya barabara kuu, mfano mi ninapoishi waliingia mpaka huku mdani ndani kufyatua risasi juu bahati iliyo njema hakukuwa na watu kwenye hizo njia za kimtaa lakini hicho kitu hawakuweza kukifanya huko temboni kuingia mpaka huko ndani ndani
 
Tuko kwenye ibada ya kuwaombea pumziko la milele marehemu wote waliouwawa kipindi cha uchaguzi, uponyaji wa haraka kwa majeruhi na kwangu naongeza ombi la pigo takatifu kwa wale wote walioratibu na kutekeleza hayo mauaji.
 
Hii mkuu itakuwa ni maandamano au vita?
 
Nina demu wangu mmoja mwanajeshi JWTz anasema wote wameitwa kambini risk elevated to red. Sasa hivi hashiki simu yangu yule mshenzi. Naona inaoana na hii taarifa
Risk elevated to red ,hii sio kauli ya kitoto
 
Huko huko kuna tuvichaka vichaka bado kwahiyo mtu akikuotea anakumaliza anakutupa mto saranga au kwenye vichaka hata kukuzika ndio sehemu watu wana maeneo makubwa ya kulima na kuvuna gunia la mahindi
Dadek palipoa kama sio dar...
Sass mbona goba nako ni kama temboni Ila palichafuka?
Hapo sawa
Ila Mambo ya Molotov hayana maajabu
 

Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.
 

Sawa, ila Tupunguze kuweka identifiers humu paka ni wengi sana 🙄
 
Maeneo mengi ya kuanzia kimara mpaka temboni hayako flat na yanamapori mengi sio rahisi kuingia ndanindani.

Kimara mpaka mbezi hakuna vifo vingi vya mtaani kutokana na jiografia yake.

Mbezi magufuri kulikua na JWTZ block janja weed hawakufika, Na Polisi pia walikua na adabu
 
Haya ndo matumaini hewa mnayowapa watu halafu yasipotimia, watu wanajaa upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…