Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,492
- 31,837
Hawa wachina sasa wameiacha dunia mbali sana. Mambo wanayotafanya Marekani wanaogopa sana. Ukiacha lile jengo lao refu sana ambalo limejengwa hewani halafu linaelea. Wana train ambayo hakuna kitu kinaifikia kwa speed duniani.
Hawa waChina wametengeneza train lina speed kali kiasi kwamba kama usiku likiwa linakimbia halafu wakawasha taa. Kunakuwa bado giza mbele sababu kwa speed yake linauacha mwanga nyuma. ile speed yake likikupita baada ya masaa 5 ndo unasikia sauti yake kuwa limepita.
Ile train ina speed kiasi kwamba unaweza ukapanda dereva akaendesha ukaenda ukaiona kesho yako halafu ukarudi kuendelea na leo. Au akarudi reverse mpaka akatokea jana. ukafanya jambo ambalo hukulifanya jana.
Hawa waChina wametengeneza train lina speed kali kiasi kwamba kama usiku likiwa linakimbia halafu wakawasha taa. Kunakuwa bado giza mbele sababu kwa speed yake linauacha mwanga nyuma. ile speed yake likikupita baada ya masaa 5 ndo unasikia sauti yake kuwa limepita.
Ile train ina speed kiasi kwamba unaweza ukapanda dereva akaendesha ukaenda ukaiona kesho yako halafu ukarudi kuendelea na leo. Au akarudi reverse mpaka akatokea jana. ukafanya jambo ambalo hukulifanya jana.