Neutral Man ZT
JF-Expert Member
- Sep 5, 2025
- 263
- 478
OkMkuu hizo tetesi usimchukulie serious.
Aliye ongea haujamtaja jina mtu.
Hapa tunajaribu kufungua code ya maelezo yake.
OkMkuu hizo tetesi usimchukulie serious.
Aliye ongea haujamtaja jina mtu.
Hapa tunajaribu kufungua code ya maelezo yake.
Wale wahuni daily kuanzia saa 6 usiku wanapiga Doria kwenye nyumba za watu kuanzia maduka Sita kwa Bi rosta Hadi bulula kisha wanaibukia suka. Wanaiba na polis wanawajuaHii golani ipo maeneo gani mkuu? Inaonekana panatisha.
Aisee, hatari.Wale wahuni daily wanapiga Doria kwenye nyumba za watu kuanzia maduka Sita kwa Bi rosta Hadi bulula kisha wanaibukia suka. Wanaiba na polis wanawajua
Golan unapajua? Kule ni ukanda wa gaza, wangefika wangekimbia
Huko huko kuna tuvichaka vichaka bado kwahiyo mtu akikuotea anakumaliza anakutupa mto saranga au kwenye vichaka hata kukuzika ndio sehemu watu wana maeneo makubwa ya kulima na kuvuna gunia la mahindiSaranga walipaogopa eeh
Alaf kule si pameungana na golani kwenye wahuni na vibaka walioshindikana
Naijua ya UbungoHii golani ipo maeneo gani mkuu? Inaonekana panatisha.
Ilikuwaje? Yaani umelipa kabisa ukagundua nini hadi ukimbie?Nilipakimbia ndan ya week 2 tu nkaacha Kodi ya miez Sita kule. (300, 000 Mara 6) sitapasahau
Duh kumbe mambo haya bado yapo?!Wale wahuni daily kuanzia saa 6 usiku wanapiga Doria kwenye nyumba za watu kuanzia maduka Sita kwa Bi rosta Hadi bulula kisha wanaibukia suka. Wanaiba na polis wanawajua
Na kweli rafiki yangu anaishi temboni ndani ndani anasema hakusikia bomu wala risasi
...Sijui kwanini Serikali hawalioni hili.
Ni kweli watu wameuwawa, Lkn where are bodies?
Yaani nizae mtoto, afike miaka 25, Apigwe risasi for just having an opinion, na nisipate nafasi ya kuzika mwili wake?
Unazani haya maumivu mtayanyamazisha kwa kupiga mabomu, risasi au nn?
..akafa askari 1 raia 4
DuhNina demu wangu mmoja mwanajeshi JWTz anasema wote wameitwa kambini risk elevated to red. Sasa hivi hashiki simu yangu yule mshenzi. Naona ina bwana na hii taarifa
Kweli mjinga weweOctober tunatiki😄😄😄
..Nina demu wangu mmoja mwanajeshi JWTz anasema wote wameitwa kambini risk elevated to red. Sasa hivi hashiki simu yangu yule mshenzi. Naona ina bwana na hii taarifa
October tunatiki 😄Kweli mjinga wewe
..Kulikuwa na helicopter inapiga doria mitaa ya kimara na mbezi, nikasema kumekuchaa