Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,593
- 23,195
Yaan policcm na ccm wana akili fupi sana,walizitupa maiti kuficha uovu wao kimataifa wakasahau kwamba hyo miili ina ndugu zao na hao ndugu watazihitajiSijui kwanini Serikali hawalioni hili.
Ni kweli watu wameuwawa, Lkn where are bodies?
Yaani nizae mtoto, afike miaka 25, Apigwe risasi for just having an opinion, na nisipate nafasi ya kuzika mwili wake?
Unazani haya maumivu mtayanyamazisha kwa kupiga mabomu, risasi au nn?