Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

Si ndio yule bonge aliyekuwa magogoni kipindi kile, akawa anakunja nne mbele ya bibi Kizimkazi anaitwa Chivayo, anahusika na kuuza silaha kwa viongozi Afrika wasiokubalika na kuwapa mbinu za kubaki kwa hila style hii ya kuteka, kutesa na kuua wanamhusisha nayo sana, ndio inatumika Zimbambwe.
Duh Mungu atuokoe
 
Wabongo wengine wanaboa sana hasa wakina mama, nimeshawasikia vikundi vitafu tofauti sehemu tofauti wakina mama wakiwasema vijana wanaoandamana.
Watu wameridhika kulipa kodi za biashara mara mbili mbili
Sasa mkuu unafikiri mbele ya risasi tutafanyeje? Kilichotokea ulikiona Hadi nyie wanaume mlijificha ndani. Ukweli risasi inatisha
 
Mimi mwenyewe ni muoga kama wewe na ninaogopa milio ya risasi ila sio vyema kuwasema vibaya au kudharau watu wanaoweka maisha yao rehani kwa faida ya sisi sote.
Sasa ulivoniponda hapo juu?
Hii ngoma ngumuu
Imagine zile maiti na zote ni shaba. Wakipata silaha watoke kwakweli Ila wanguwangu hapana
 
Huyu alisema kila "siku tunakufa sisi tu ninyi hamfi. Safari hii zamu yenu".
Kilichotokea kila mtu anajua hasa walichofanya wale jamaa waliovaa kiraia wenye lafudhi ya Zenj...
Alisema kesho maandamano yapo. Na kweli yakatokea.
Alisema yule aliyepotea mnaye dhania hatorudi katoroshwa. Hii kumaanisha watu walimtorosha Polepole alikofichwa. Sasa sijui wakifanikiwa kumkamata tena?!
Mmmmh, Polepole katoroshwa na akina nani?

Lini katoroshwa?

Katoroshewa wapi?
 
Back
Top Bottom