Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

kiukweli hata itv wamejilekebisha jana tu kwa kutoa habari vizur kuusiana na kuchukua fom kwa magufuli. cku zote zlizopita walikua wanaponda ccm na kuwapeperusha vema chadema na ukawa

Wametambua ukweli wenyewe siyo kwenda na mdundo wa moyo tu
Makapi utapata nini humo , shida watu wanashabikia makapi ,
 
Wamenikera kupita maelezo hapa mgahawani kila mtu kasema lake kuhusu hiyo hali. Star tv jitathimini mnakimbiwa na watazamaji soon mtakuwa kama TBC ila wenzenu wanaendeshwa kwa kodi nyie je???? Nitaangia tena kesho kama ikiwa hivi tena nitapigia mstari
 
Tunachoweza kukifanya mkuu ni kutoiangalia hiyo tv basi..ukombozi unakaribia..wanajifanya tbc!..watakoma..tutasusia mpaka wazifunge kwa kukosa watazamaji!

Kama mimi nisivyoangalia ITV EATV CH TEN na Capital.
 
Magic fm,radio maria na radio five ni wazuri sana kwa uchambuzi wa magazeti.
 
Nimeshangazwa sana na hatua ya msoma magazeti wa leo kusoma tu habari za mgombea wa CCM kwa kila gazeti na kupuuzia kabisa kusoma habari za wagombea wengine

ndizo zilizotawala kwenye magezeti ya leo
 
wakuu mimi nilidhani ni mimi mwenyewe, kuhusu (star tv)

hakika kwa sasa wanacheza ngoma ya chama cha mapinduzi,

si,kwenye magazeti tu, hata taarifa zao za habari, ni hovyo kabisa zote ni habari za ccm,

**** kuna mtu aliangalia star tv kuanzia jumamosi iliyopita,

walikua na kipindi kilichoitwa (WATANZANIA WANA AMUA)

chakushangaza ni kwamba ichokipindi kilikua mahususi kwa ccm juu ya kura za maoni, hata pale walipotoa taarifa za vyama vingine ni kwa ufupi sana tena za UKAWA zilikua ni marufuku,

mimi sasa hivi siiangalii tena star tv nimehamia kwa wazalendo wa kweli, itv,chanel ten,Azam tv, na kwa upande wa radio ni magic fm, radio 1,

TV HIZI NI SUMU WEKA MBALI NA WATOTO:
1: TBC1
2: STAR TV
3:CLOUDS TV
HIZI NI SUMU WEKA MBALI NA WATOTO,
 
Ni kweli, ni jana tu ITV wametangaza something positive kwa CCM . otherwise siku zote ITV ni pro UKAWA. My fear ni baada ya uchaguzi, isije tokea kama yale ya Khodorvisky wa Russia.
 
Me hata sijui hata kaa huwa wanapendelea manake hata huwa siziangalii nina mpango wa kuziblock zisije kufundisha watoto wangu mambo ya ajabu.
 
hahaaaa mbona huuongeleiii ITV inatangaza ukanda wa kaskazini sanaa ukitaka air time lazima uelewane na mzee machache au kim....what a shame ITV
 
Me hata sijui hata kaa huwa wanapendelea manake hata huwa siziangalii nina mpango wa kuziblock zisije kufundisha watoto wangu mambo ya ajabu.
Piga full suit ya kichaga. Chagadema, Mengi chaga itv, na ulale kwenye guest house za Ndesamburo
 
Piga full suit ya kichaga. Chagadema, Mengi chaga itv, na ulale kwenye guest house za Ndesamburo

Poor arguments Azam nayo ni ya wachaga Channel Ten je? Kwa taarifa yako me ni ngosha tena wa Mwanza maeneo ya kijima (enghani jenejo ehja CCM jikokobologa)
 
Sasa ulitaka vituo vya television vyote nchini vionyeshe mkutano wa chadema wkt upande wa pili kuna tukio lingine?Chadema walitaka kuwateka wananchi wote tufatilie mkutano wao wa kuwatangaza wagombea waliowaazima vyama vingine walivyosikia ratiba ya Nec kwamba tarehe 4 mgombea wa ccm anaenda kuchukua form ya urais nao wameweka mkutano wao tarehe hiyo hiyo ndio maana tv zingine zimejigawa zimeonyesha upande wa ccm.Kila mtu anahaki ya kupata habari najua chadema waliwai kulipia matangazo Azam tv,Chanel ten na Itv
 
Jana jk alisema wana mbinu za ushindi, nahisi ndo hizo
 
Mimi nimeacha kuangalia star TV. Ni bora kituo kitangaze kabisa kuwa ni chama Fulani. Kwa mfano kwenye reaio inaeleweka kuwa redio uhuru ni CCM.
 
Back
Top Bottom