kaka acha hasira. Apart from tbc, every private media is free to affiliate itself with a party of choice. Hata huko kwa wenzetu iko hivo. Just because hawa ipi ipaumbele CHADEMA yako usijaribu kulazimisha mambo. Hii ni free world, Kama hupendi unachokitazama, vidole vyako viko huru kubadilisha channel.
Kama mimi nisivyoangalia ITV EATV CH TEN na Capital.
Tv zenyewe hata studio zao za ovyo ovyo tu, hata meza hakuna...
Poa ndugu, nimeisoma, I didnt know about that. Hivyo basi jamaa wanavunja sheria wazi wazi kabisa then.Mkuu hapo kwenye Red siyo sahihi, kuna sheria inawalazimisha broadcasters wote regardless ni private au public kuwa balanced kwenye habari za uchaguzi. Nimeweka hiyo sheria kwenye post zang huko juu.
Sasa ulitaka vituo vya television vyote nchini vionyeshe mkutano wa chadema wkt upande wa pili kuna tukio lingine?Chadema walitaka kuwateka wananchi wote tufatilie mkutano wao wa kuwatangaza wagombea waliowaazima vyama vingine walivyosikia ratiba ya Nec kwamba tarehe 4 mgombea wa ccm anaenda kuchukua form ya urais nao wameweka mkutano wao tarehe hiyo hiyo ndio maana tv zingine zimejigawa zimeonyesha upande wa ccm.Kila mtu anahaki ya kupata habari najua chadema waliwai kulipia matangazo Azam tv,Chanel ten na Itv
Tatizo liko TCRA ambao ndiyo wasimamizi wa hivi vyombo vya habari, kuna sheria kabisa mahususi kwa ajili ya kusimamia fairness ya vyombo vya habari kwenye uchaguzi. Nadhani TRCA hawafanyi kazi yao vizuri bado wamelala hawajajua kama tayari tuko kwenye uchaguzi. Naamini wakiona haya malalamiko watalifanyia kazi na hata vyombo vya habari wanajua penalt yake ni kubwa
kama kuna mtu anaweza kulifikisha hili TCRA walitolee maelezo anaweza kufanya hivyo naamini watalishughulikia.
Jana ITV wamefanya balance nzuri sana kwenye habari za uchaguzi na ndivyo sheria inataka wafanye.
Hivi nyie Wachaga mnataka kila TV iwatangaze nyie tu.... Hiyo itv haiwatoshi? na mmeongeza na channel ten sasa shida hipo wapi...wabinafsi sana nyie Wachaga kama mnafikiri media zitawapa nchi subirini muone.
Kwa bahati mbaya huyo kwa ujinga wake na akili zake mbovu anafikiri anaijenga CCM kumbe ndiyo anazidi kuiumbua. Ngoja tu watembeze hilo kufuli, funguo ziko UKAWA.Comments zako zinaakisi sura ya avatar yako, ambayo nayo inaakisi udogo wa ubongo wako..
TBC ovyoooo!Naangalia taarifa za mikoani ss hivi yani ni upuuzi wa hali ya juu.Wametangaza kuwa wanaohama CCM eti wametumia hela nyingi hivyo zinawauma na wamepeleka habari mtwara kwa Magufuli dk 2 nzima ila hakuna habari yoyote ya wizi wa kura za maoni CCM huko mikoani,kuhama kwa viongozi CCM Mbeya,Arusha n.k..Afu eti kuna habari ya semina kwa waandishi na vyombo vya habari kuwa fair na kutumia kalamu zao vizuri.
Hili shirika ni la ovyo sijui wanadanganya umma UPI??
mkuu bado unaangalia TBC.hii inakuwaga TV ya chooni
Nyamafu Kati ya tbc na itv .nani anaeye pendelea zaidi ?uchimbi wa itv hamuoni mnaona wa tbc? Ndorobooo
Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa hili shirika ni la umma. Kuelekea uchaguzi mwaka huu kituo hiki cha televisheni kimekuwa kikiripoti habari kwa upendeleo wa hali ya juu yaani hata kufika mahali na kupotosha jamii ya waTz.Hivi najiuliza TBC wanadhani tuko miaka ya 70? Au wana mawazo mgando na finyu kiasi hiki?? Yaani hata kuripoti habari mfano za upinzani au Lowassa ni kwa uzandiki na urapurapu(ikitokea zimeripotiwa).
Mikutano ya CCm inarushwa live na makolombwezo meeengi..Hivi mnamdanganya nani? Mtz wa leo anajua na ndo maana anajiandikisha afanye maamuzi. Onyesheni kwa uwiano, Tz ya leo inahitaji ukweli na usawa ktk habari.