Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Sio tu upendeleo hata vipindi vingn ni very poor inshort mi nshaacha kitambo kuangalia hyo TV japo si mdau sana wa Siasa wanaboa mno hao jamaa
 
star tv walikuwa wako vizuri ila baada ya mtu wa kanda hiyo wameamua kujielekeza huko ila tutajua tu ngoja kampeni zianze
 
Binafsi siwezi poteza mda wangu kuangalia taarifa ya habari TBC au UHURU FM. Hakuna kumumunya maneno katika hili kwani hawajui wanachokifanya. Labda kama kuna wapenzi wa taarabu, michezo ya kuigiza na burudani zingine ndo ataweza kufaidika na hizo media ila kwa HABARI angalia ITV daima.
 
Mi star tv tbc siangaliagi local newz.star tv naangalia michezo na bbc swahili tu.hizi ni miongoni mwa media za hovyo kuwahi kutokea katika sayari ya dunia
 
kaka acha hasira. Apart from tbc, every private media is free to affiliate itself with a party of choice. Hata huko kwa wenzetu iko hivo. Just because hawa ipi ipaumbele CHADEMA yako usijaribu kulazimisha mambo. Hii ni free world, Kama hupendi unachokitazama, vidole vyako viko huru kubadilisha channel.

TBC nikodi yetu sio ya chama chenu wanaaishi kwa jasho letu
inakuwaje hawatupi habari zote niza makufuli turn wapinzani hatukatwi payee
 
Nimeshangazwa sana na hatua ya msoma magazeti wa leo kusoma tu habari za mgombea wa CCM kwa kila gazeti na kupuuzia kabisa kusoma habari za wagombea wengine
 
Nimeshangazwa sana na hatua ya msoma magazeti wa leo kusoma tu habari za mgombea wa CCM kwa kila gazeti na kupuuzia kabisa kusoma habari za wagombea wengine

Tunachoweza kukifanya mkuu ni kutoiangalia hiyo tv basi..ukombozi unakaribia..wanajifanya tbc!..watakoma..tutasusia mpaka wazifunge kwa kukosa watazamaji!
 
Aisee bora mumetufungua macho sikujua star TV kuwa ndivyo walivyo! Wapewe taarifa kabisa!
 
kiukweli hata itv wamejilekebisha jana tu kwa kutoa habari vizur kuusiana na kuchukua fom kwa magufuli. cku zote zlizopita walikua wanaponda ccm na kuwapeperusha vema chadema na ukawa
 
Mkuu Star Tv ni ya Dialo asa unadhani ataitangaza UKAWA? Lazima aipaishe sisiem
 
Star TV= RFA=CCM=TBC=Uhuru=Jambo=Cloud FM= Wote Ni Manyiniem
.
StarTV ata wale Wanaoalikwa Kwenye Uchambuzi Wengi uwa ni Makada Wa CCM. Kweli Msomaji StarTV wa Magazeti ya Leo Katia

Fora..mfano Gazeti la Nipashe na Mwananchi Habari Kuu na Picha ni Lowassa..Lowassa...Lowassa; Lakini yeye Kachagua Habari za

Misisiem Tu.
 
Mimi sitazami star tv, labda kipindi cha BBC Swahili, na wakimaliza tu narudi kwingine. Leo nimejikuta naiweka bila kujua dahhhh, nimeichukia kutoka moyoni
 
Vyombo vya habari vya nchi hii vimejaa unafiki na mihemuko ya kisiasa,hivi huwa hawaangalii BBC? Star Tv na RFA ni kama vyombo vya habari vya nchi ya Burundi
 
Startv inamilikiwa na Diallo aliye kambi ya Membe. ..hawezi tangaza habari za Ukawa/Chadema...ovyo kbs huyu janaaa...ila vyombo vya habari vipo vipi ni kususia kuitazama hii tv
 
Back
Top Bottom