Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

ingekuws kutukana si dhambi basi ningesema.tbc ni redio ya shetani maana ni wabaguxi wabaguzi balaaa.lkn kwa kuwa matusi ni dhambi acha niendelee kusema tbc ni eti redio ya umma japo ni ya uma wa wana ccm
 
Hata mchakato wa kura za maoni, wanaonyesha wagombea wa NYINYIEM tu, kama vile hakuna vyma vingine. Ila pia shirika linaendeshwa kwa hasra kubwa sana kwani wanachagua hata matangazo ya biashara.
 
Wafanyakazi wote wa TBC anzeni kufungasha bado miezi mitatu tu MNAFUTWA KAZI WOTE HAPO.... kuhusu mafao msijali.
 
Umemjibu vizuri sana..Hili ni shirika la umma,wanapaswa kuripoti habari zote kwa usawa bila upendeleo.BBC ,DW,France24 na nyingine nyingi ni mifano.Yaani HAWA TBC wao wamejichukulia kututangazia habari za CCm tu.Ni kuwabrain wash wa Tz,something that I doubt if its working this 2015.
Tungekua kwenye mfumo wa chama kimoja sawa,ila kwa sasa ni vyama vingi,halafu TBC haiwajibiki kwa CCM inawajibika kwa umma.Maana inaendeshwa kwa pesa za umma ambazo zinatokana na wana CCM,CDM,vyama vingine na sie tusio na vyama.Kila mwaka hutengewa bajet na SERIKALI.Ikitokea CCM wanawapa hela kufanya nao kazi sawa ila kuhusu usaea wa kurusha habar haipasw kuwa biase.Kiukweli wapunzani kwa afrika wana changamoto sana si kidogo ila ndo hvyo tena.
 
Wafanyakazi wote wa TBC anzeni kufungasha bado miezi mitatu tu MNAFUTWA KAZI WOTE HAPO.... kuhusu mafao msijali.

Sio lazima kuwafukuza kazi ila wanaweza kukumbushwa wajibu wao.Moja ya sababu za watanzania kutokuwa na mpango na TBC ni huo upuuzi wao
 
Kinachoniuma ni kodi!..tnapoenda inabidi AZAM TWO ndio iwe televisheni ya taifa!..Tido aliiweka pazuru sana ila wakamuona kama msaliti!!ila wataelewa siku moja siku tukipata UHURU itakua idhaa ya wananchi
 
Yoote haya ukijumlisha ni Mihemko ya Kisiasa tu.
Wakionyesha Mipira huwa hatusemi kitu.

Vyama vianzishe TV stations zao,watu wamekula ruzuku kubwa,badala wachangishane waanzishe kituo kila mmoja anatafuta chochocro akale na wakwao
 
Hio ni tv ya ccm inayoendeshwa kwa kodi ya wanaukawa na wanaccm, siku nyingine usipoteze muda wako kuiangalia!
 
kwa sasa televisheni ya taifa ni Azam tv ikishirikiana na tv hizi Itv, na channel ten
 
Inatakiwa el akiingia madarakani afukuze wafanyakazi wote na wawekwe wapya. Na jina la tbc lifutwe mana lina kasoro.
 
Yoote haya ukijumlisha ni Mihemko ya Kisiasa tu.
Wakionyesha Mipira huwa hatusemi kitu.

Vyama vianzishe TV stations zao,watu wamekula ruzuku kubwa,badala wachangishane waanzishe kituo kila mmoja anatafuta chochocro akale na wakwao

Hio ni tv ya taifa sio ya ccm ama ukawa ama wasio na chama, sasa ccm kuiteka na kuifanyia mambo yao wenyewe sio vema! Kuna wananchi wengine wao hawana upande kisiasa lakini wanapenda kufahamu kinachojiri!
 
Ukawa wakichukua nchi dawa ni kuwafuta kazi hawa waandishi wa ccm nakuajili watu neutral
 
Sasa ww ulitegemea warushe habari za ukawa au chadema tambua kuwa TBC ni kituo kinachomilikiwa na serikali iliyopo madarakani na serikali iliyopo madarakan ni ya ukawa au ya chadema nauliza kwako mleta uzi? Lazima iwe ya chama kilichopo madarakani kwhyo usiumie subiri kama na ww utapata mamlaka ya chama chako kuwepo mjengoni pale mtayatekeleza yakwenu kwa xx achen tu ccm ifanye inavyotaka hupend usifungulie tbc
mkuu kodi yako ndo inaendesha TBC, sio hela za CCM, ungejua nn maana ya Serikali usingejibu hivyo,kwa akili yako unamaanisha Serikali ni CCM(Chama kilicho madarakani).....woop mahfu....
 
Jana Usiku baada ya mihangaiko yangu nikaamua kuangalia nchi inaendaje kupitia tbc. Nilichokishuhudia ni Wabunge waliokuwa wenyeviti wa kamati za bunge ambao ni wa ccm wakijielezaaa. Cha ajabu wapinzani walionekana mara chache tena kwenye matukio yanayojengwa kuonesha ndio wasumbufu na wasiojali wananchi. Kwakwel tbc mnatia aibuu. Jifunzeni kwa wenzenu
 
Sasa ww ulitegemea warushe habari za ukawa au chadema tambua kuwa TBC ni kituo kinachomilikiwa na serikali iliyopo madarakani na serikali iliyopo madarakan ni ya ukawa au ya chadema nauliza kwako mleta uzi? Lazima iwe ya chama kilichopo madarakani kwhyo usiumie subiri kama na ww utapata mamlaka ya chama chako kuwepo mjengoni pale mtayatekeleza yakwenu kwa xx achen tu ccm ifanye inavyotaka hupend usifungulie tbc

Acha ujinga mbona wew mkubwa tu!! iyo ni mal ya umma c ya serkal wala c mal ya ccm. Ni mal ya wananchi wa Tanzania
 
Ningepata watanzania 100 tu wanaowaza km mim, yaan inabid kwenda kuvamia kile ktuo cha tbc na kuharib kila kitu, heri tucwe na tv ya taifa kuliko hii
 
kwana serikali si ccm?!kwa nini TBC isiwe ccm wakati ni chombo cha setikali.jitahidi kununua azam dekoda jamani.tuangalie mambo ya kiutu uzima kutoka UKAWA.....
 
Back
Top Bottom