Kibao
R I P
- Nov 8, 2007
- 631
- 401
star tv walikuwa wako vizuri ila baada ya mtu wa kanda hiyo wameamua kujielekeza huko ila tutajua tu ngoja kampeni zianze
Lakini pia mwenye star tv si ndio mwenyekiti wa CCM wa mkoa fulani kanda ya ziwa.
star tv walikuwa wako vizuri ila baada ya mtu wa kanda hiyo wameamua kujielekeza huko ila tutajua tu ngoja kampeni zianze
Mi star tv tbc siangaliagi local newz.star tv naangalia michezo na bbc swahili tu.hizi ni miongoni mwa media za hovyo kuwahi kutokea katika sayari ya dunia
Tatizo liko TCRA ambao ndiyo wasimamizi wa hivi vyombo vya habari, kuna sheria kabisa mahususi kwa ajili ya kusimamia fairness ya vyombo vya habari kwenye uchaguzi. Nadhani TRCA hawafanyi kazi yao vizuri bado wamelala hawajajua kama tayari tuko kwenye uchaguzi. Naamini wakiona haya malalamiko watalifanyia kazi na hata vyombo vya habari wanajua penalt yake ni kubwa
kama kuna mtu anaweza kulifikisha hili TCRA walitolee maelezo anaweza kufanya hivyo naamini watalishughulikia.
Jana ITV wamefanya balance nzuri sana kwenye habari za uchaguzi na ndivyo sheria inataka wafanye.
Television ya taifa inasimamia masilahi ya Taifa, siyo masilahi ya Mbowe, Mtei na hii biashara yao haram ya mafisadi
Kuwa mtumwa wa Mbowe na genge lake si ndio laana
Piga full suit ya kichaga. Chagadema, Mengi chaga itv, na ulale kwenye guest house za Ndesamburo
Hao Wachaga na uwizi wao Safari hii tunawachinja milele
Eehee huyu mama, hata mtoto anamshinda
Mimi nina mwaka mmoja siangalii itv ya mangi na chagadema!
Televisions
Itv, Channel 10 na Azam tv wanajitahidi kuwa fair.
Star Tv+ TBC naona wao ni pro CCM tu, bila aibu wanapendelea, its up to them lakini his issues ni so divisive. These are public stations and not for one party.
Tunawashukuru sana social media jamii forum, openness and free thoughts.
Kuna baadhi ya magazeti yanatumia uzushu, udini, propaganda nk. It's so dangerous.
Suggestions:
Busara, ueledi, taaluma, sera na hoja vitawale. Pls. Ole wenu waandishi na mafarisayo yaonya biblia.
Otherwise mnaweza mka declare kwamba hii ni CCM media, vyombo vya habari ni mhimili muhimu katikaaendeleo vikitumika vizuri.
Zingatieni taaluma acheni siasa.
Mko wangapi hadi msuse watu wenyewe wenye kelele hata milioni hamfiki
Star TV sio ishu, as its a private media, na mmiliki wake ni kada wa CCM, so kwa namna moja ama nyingine, wana uhuru wa kuwa na uelekeo fulani wa kiitikadi katika siasa. Ila kwa TBC1 ni makosa kuonekana wakishabikia chama fulani as hiyo ni mali ya umma, inaendeshwa kwa kodi za wananchi wote kwa ujumla wao bila kujali wanatoka chama gani.
Hii kasumba ni ya muda mrefu saana, nafikiri sababu kubwa ni kwamba wakati tunaanza siasa ya vyama vingi, vyama vya upinzani vilionekana kama maigizo tu, uhalisia ni kwamba bado tulikua tunaendeshwa na mfumo wa chama kimoja huku tumejifunika bendela ya vyama vingi. Kama utakumbuka siku kuu ya Saba saba, its essentially siku kuu ya kichama, lakini ilikua ikisherehekewa kama siku kuu ya kitaifa, mpaka majuzi watu walipopata mwamko na kuipinga ndio ikafanywa siku kuu ya wafanyabiashara.
Kwa tuliosoma kwenye public schools, kuna kipindi tulikua tukiimba nyimbo za CCM kama sehemu ya nyimbo za shule, nakumbuka hata bendela ya CCM ikipandishwa au kushushwa tulilazimika kusimama kama vile tufanyavyo bendela ya taifa, ila sasa hali imebadilika, vyama vya siasa viko at their best, yale maigizo ya bunge lenye ratio ya CCM to Upinzani 84% to 16% yanaelekea mwishoni, soon tutakua na bunge lenye ratio ya 46% to 54% respectively. Hapo utaona kama TBC1 wataonesha affiliation na chama.
Tcra ipi? Hii ya mashetani au,mkuu njia ni moja kugoma kuangalia hizo tv za kishetani
Televisions
Itv, Channel 10 na Azam tv wanajitahidi kuwa fair.
Star Tv+ TBC naona wao ni pro CCM tu, bila aibu wanapendelea, its up to them lakini his issues ni so divisive. These are public stations and not for one party.
Tunawashukuru sana social media jamii forum, openness and free thoughts.
Kuna baadhi ya magazeti yanatumia uzushu, udini, propaganda nk. It's so dangerous.
Suggestions:
Busara, ueledi, taaluma, sera na hoja vitawale. Pls. Ole wenu waandishi na mafarisayo yaonya biblia.
Otherwise mnaweza mka declare kwamba hii ni CCM media, vyombo vya habari ni mhimili muhimu katikaaendeleo vikitumika vizuri.
Zingatieni taaluma acheni siasa.