Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Kero: TBC hamtutendei haki wananchi

Mkuu vipi tena?umelogwa au??sasa hivi mkuu tupo kwenye soko huria la vyombo vya habari huna haja ya kuangalia,kusikiliza TBC wala kununua king'amuzi cha star times kwani serekali ina hisa kule,angalia vyombo vingine vya habari kwani vipo vingi sana!!
 
Hivi bado unaitazama hiyo channel ya mashaitwan wa kijani? Angalia usije kuota usiku!
 
Nyamafu Kati ya tbc na itv .nani anaeye pendelea zaidi ?uchimbi wa itv hamuoni mnaona wa tbc? Ndorobooo
 
Mbona sioni TBC wakitangaza hawa wanaoshikwa na takukuru kwa kutoa rushwa ?? incidentally wote ni wagombea kwa tikiti ya CCM.
Wanajifanya hawasikii wala hawaoni. Aibu yao.
Ndio maana ITV daima iko juu, wanapandishwa juu zaidi kwa kutowajibika kwa TBC.
Mnakumbuka TBC ya kijana wa kibondei ilivyokua huru na TV pendwa, sasa wamemuachia na Tido anakata mawimbi na AZam. Hongera mdogo wangu Tido. Onyesha professionalism. achana na kina Mushana waendelee kuizika TBC.
Nenda sehemu yoyote kama bar saa mbili usiku, ukiona wanaangalia taarifa ya habari TBC ni pm nikutumie vocha kifurushi cha wiki mbili.
 
Sasa ww ulitegemea warushe habari za ukawa au chadema tambua kuwa TBC ni kituo kinachomilikiwa na serikali iliyopo madarakani na serikali iliyopo madarakan ni ya ukawa au ya chadema nauliza kwako mleta uzi? Lazima iwe ya chama kilichopo madarakani kwhyo usiumie subiri kama na ww utapata mamlaka ya chama chako kuwepo mjengoni pale mtayatekeleza yakwenu kwa xx achen tu ccm ifanye inavyotaka hupend usifungulie tbc

Jaribu kutofautisha UHURU na TBC kipi kinahudumiwa na fedha za CCM na kipi kinahudumiwa na fedha za umma.
 
Watu wengine wanapenda ubishi tu.tbc ni shirika la umma na sio la ccm
 
Televisions

Itv, Channel 10 na Azam tv wanajitahidi kuwa fair.

Star Tv+ TBC naona wao ni pro CCM tu, bila aibu wanapendelea, its up to them lakini his issues ni so divisive. These are public stations and not for one party.

Tunawashukuru sana social media jamii forum, openness and free thoughts.

Kuna baadhi ya magazeti yanatumia uzushu, udini, propaganda nk. It's so dangerous.

Suggestions:

Busara, ueledi, taaluma, sera na hoja vitawale. Pls. Ole wenu waandishi na mafarisayo yaonya biblia.

Otherwise mnaweza mka declare kwamba hii ni CCM media, vyombo vya habari ni mhimili muhimu katikaaendeleo vikitumika vizuri.

Zingatieni taaluma acheni siasa.
 
Hata mimi nimeona hicho kitu ktk hizo media hazitoi fulsa sawa ya promo kwa vyama vya upinzani.
 
Televisions
Itv, channel 10 na azam tv wanajitahidi kuwa fair.

Star Tv+ TBC naona wao ni pro ccm tu, bila aibu wanapendelea, its up to them lakini his issues ni so divisive. These are public stations and not for one party.

Tunawashukuru sana social media jamii forum, openness and free thoughts.

Kuna baadhi ya magazeti yanatumia uzushu, udini, propaganda nk. It's so dangerous.

Suggestions:

Busara, ueledi, taaluma, sera na hoja vitawale. Pls. Ole wenu waandishi na mafarisayo yaonya biblia.

Otherwise mnaweza mka declare kwamba hii ni ccm media, vyombo vya habari ni mhimili muhimu katikaaendeleo vikitumika vizuri. Zingatieni taaluma acheni siasa.


kaka acha hasira. Apart from tbc, every private media is free to affiliate itself with a party of choice. Hata huko kwa wenzetu iko hivo. Just because hawa ipi ipaumbele CHADEMA yako usijaribu kulazimisha mambo. Hii ni free world, Kama hupendi unachokitazama, vidole vyako viko huru kubadilisha channel.
 
Pole sana ndugu yangu kama hadi leo hii bado unaangalia tbc sijui.
 
Mambo yote Azam2! Achaneni na hizo tv stshn za kizee. Ukitizama habari ya Azam2 hutobanduka
 
mimi kwangu shapga marufuku hizo tv wakafie mbal
 
Kwa Ujinga wa STAR TV eti wanaandika "watanzania wanaamua" yaan ni wajinga na wamevuka kimahaba sasa, badala waandike "WanaCCM wanaamua" foolish...

Ha ha ha umenifraisha ulitaka waandike safari ya matumain
 
bado hamjashangaaa zaidi ngoja chadema ishinde wakati wa kutangaza mshindi TBC kutakuwa na kipindi maalum cha kilimo hahahahaha watu wanalinda kazi zao so tusiwalaamu wafanyakazi coz hata wewe ungekuwa hapo kama reporter unaleta habari bosi anakwambia hii haifai wat will you do
 
Back
Top Bottom