Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kuna jamaa tuligombana sana,basi yeye ni mkatoliki tulihudhuria misa ya ndoa ,tukawa tupo benchi moja nikasikia tutakiane aman ,jamaa hakuwa na jinsi akanipa mikono
 
Kuna jamaa tuligombana sana,basi yeye ni mkatoliki tulihudhuria misa ya ndoa ,tukawa tupo benchi moja nikasikia tutakiane aman ,jamaa hakuwa na jinsi akanipa mikono
Ndio hasa dhamira ya kutakiana amani, na hapo iliwakuta wahusika halisi 😃
 
WE BABA UNA ROHO YA KISHETANI HATA KANISANI KOMA IWE MWIKO KWENDA USIJE TENA.

WATU TUSITAKIANE MEMA? TUSIJULIANE HALI? TUSIFUNZWE?
WATU TUMEKENGEUKA SANA SIKU HIZI TUMEKUWA WANYAMA

WE BABA KOMA HAMIA MORAVIAN
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tumsifu Yesu Kristo
 
Kipengele cha kutakiana amani kipo kote ht morovian atakikuta
Labda makanisa ya kilokole sijui...
Na huyo ya mgeukie jirani inategemea na mhubiri pia ipo kote tu...
😄
Hataki amani kabisa, hawa ndo wale wanatunyima Lift tusio na magari, hawarukaribishi makwao na Jumuiya wanatuweka karibu na mabanda ya kuku tusikie harufu za mavi ya kuku tuumwe

Huyu baba ana roho mbovu mno
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Nenda kwa Mwamposa ukauziwe udongo.
 
Back
Top Bottom