Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.
😂😂😂
Hujalazimishwa kwenda Kanisani.
Hujalazimishwa kumuongelesha mtu wala kumpa mkono.
Kama hutaki, si unakausha tu.
 
Nilienda kubatiza mtoto padri anakataa jina nililoandika, anampachika jina lingine eti nimekosea spelling. Jina ambalo ukibadili herufi tu hata kulitamka ni lingine kabisa ila yanaendana. Aliniudhi kinoma
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Kitendo cha kubusu sanamu la maria au Yesu,haya mambo yananikata stimu kabisa.
 
Katoliki SIO dhehebu. Hao waliojitoa ndio madhehebu, Muwe mnasoma historia ya kanisa. Alafu hao hawana Misa Takatifu. It's different. Huko ni kama wapo tamasha.
Vyovyote itakavyotafsiriwa kikubwa mlete uzi aende akaabudu sehemu ambayo atafanya ibada na kisha kupata amani ya moyo wake.
 
Alafu ulivo huna akili unajiita mrumi, mkiambiwa KANISA lenu ni himaya ya kipagani limeanzishwa na Constantine mnashangaa, mimi sio mrumi Wala Roman, mimi ni mkatoliki tena hasa. Hakuna KANISA linaitwa Roman Catholic, ni uvivu wa watu tu kujua, ingia ata website ya Vatican hutokuta official document Ina Hilo neno, sisi KATOLIKI tu. Tupo makanisa 27.
Hasira za nini mkuu nishasema wewe sio miongoni mwa wale tenashara kwa maelezo yako na lugha yako ya hasira hiyo sio hulka ya warumi.
 
WE BABA UNA ROHO YA KISHETANI HATA KANISANI KOMA IWE MWIKO KWENDA USIJE TENA.

WATU TUSITAKIANE MEMA? TUSIJULIANE HALI? TUSIFUNZWE?
WATU TUMEKENGEUKA SANA SIKU HIZI TUMEKUWA WANYAMA

WE BABA KOMA HAMIA MORAVIAN
Kipengele cha kutakiana amani kipo kote ht morovian atakikuta
Labda makanisa ya kilokole sijui...
Na huyo ya mgeukie jirani inategemea na mhubiri pia ipo kote tu...
😄
 
Njoo kanisani kwetu, hizo kero hakuna. Sisi tunaingia kanisani saa moja asubuhi na misa inaisha saa sita mchana.
Ambacho haujakizingatia ni kwamba anachokilalamikia mdau ni suala la muda,ikiwa aliko currently ameshindwa kuvumilia masaa mawili ndiyo akapaweze huko pa masaa saba kasoro?
 
Ambacho haujakizingatia ni kwamba anachokilalamikia mdau ni suala la muda,ikiwa aliko currently ameshindwa kuvumilia masaa mawili ndiyo akapaweze huko pa masaa saba kasoro?
Muda. Hasa kama unatumika kwenye perepere tu.
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Ongeza. Maombi yawezakuwa kunapepo ama kunyemelea hatavanaanza kukupa vikwazo.
 
Nilienda kubatiza mtoto padri anakataa jina nililoandika, anampachika jina lingine eti nimekosea spelling. Jina ambalo ukibadili herufi tu hata kulitamka ni lingine kabisa ila yanaendana. Aliniudhi kinoma
Umenikumbusha, ata mimi nililazimishwa eti lazima nitoe jina mtakatifu anayefahamika. Yani ilibidi nimhoji yule padri, nkamwambia jina lina maana fulani kwa lugha yetu, alafu nikamuuliza je hao WATAKATIFU majina yao si ya kikwao? Kwani mwanangu Ina maana akiwa mtakatifu jina la kiafrika si linapanda hadhi? Akatulia nikabatiza. Nilisahau hii kero.
 
Back
Top Bottom