Olivia olivia
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,655
- 3,921
Si uhame kwani umelazimishwa kusali RC ???? Unaumwa wewe si bure
Wewe dada mbona unamajungu jamani, sio tabia nzuri lakini.NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.
Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.
Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Badilisha uliposema mwana wa Monetary doctor. Sema baba yake Monetary doctor anatarajia kuoa mke wa pili.Matangazo ya ndoa
Tangazo la ndoa kwa mara ya pili,
Supapawa mwana wa Monetary doctor na masai dada anatarajia kufunga ndoa na binti mamnyong'ode Seran mwana wa Amell na Hanschoice
Ndoa yao itafungwa Trh 4-9-2026 parokia ya mavurunza jijini Dsm
Wewe ni mwananguBadilisha uliposema mwana wa Monetary doctor. Sema baba yake Monetary doctor anatarajia kuoa mke wa pili.
We tania tu!Wewe ni mwanangu
Karibu mbege msee 🤣We tania tu!
Umeitia magome ya msesewe? Maana sitaki kitambi liniote 😀Karibu mbege msee 🤣
Kutakiana amani ni sehemu ya liturjia ya misa ya Kikatoliki, na haiepukiki. Hii inatokana na maneno yanayonukuliwa kutoka kwa Yesu Kristu mwenyewe, aliposema "Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; " Yohana 14:27NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono,
Ujenzi wa kanisa muhimu, wasigejenga wa zamani ungesalia wap?Michango mingi
khira la kheriNakwenda kwa ajili ya Yesu. Focus na summit ya misa ni Yesu katika fumbo la mkate. Eukaristia. Na sio extracurricular za mapadri wakiswahili.
Siyo. Lazima kupeana amani. Imeanza Vatican 2. Kipindi cha covid mapadri wanaojitambua ilikuwa ikishafika hapo anamalizia hayo maneno anakwenda straight, mwanakondoo.... SIO LAZIMA. Jitu umeliona kabisa linachokonoa pua na mkono wake alafu unampa mkono? Hell no. Alafu sio LAZIMA niongee na mtu kanisani. Biashara ya mwambie jirani yako this mwambie that ni ushamba. Very uncomfortable.Kutakiana amani ni sehemu ya liturjia ya misa ya Kikatoliki, na haiepukiki. Hii inatokana na maneno yanayonukuliwa kutoka kwa Yesu Kristu mwenyewe, aliposema "Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; " Yohana 14:27
Hapa si lazima kupeana mikono, hutegemea na nyakati na mazingira. Kipindi cha covid19 maeneo mengi duniani katika Kanisa Katoliki yalizuia kutakiana amani kwa kupeana mikono, na zilitafutwa namna nyingine kama vile kuinamiana, lakini sio kuzuia sehemu hiyo kabisa
Ya maendeleo sawa. Mnamaliza utaskia tunamuaga sijui nani, aje mbele na likapu tena muanze kupiga mstari na akimaliza anaongea, baada ya hapo kapadri nako kanaanza kuongea upya yani 🤣Michango mingi
Huwa napenda misa za kingereza. Hizi nonsense ni kwa mbali.khira la kheri
mbuz kagoma kwenda mbele ya ukumbi wa harusHuku ni humu tuView attachment 3660610
Ni vitu vidogo sana hivi Ili havitufanyi tutoke kwenye reli. Ni mapungufu yanayotokana na tamaduni za kupenda porojo zisizo na mwanzo wala mwisho.Aiseeeee poleni
Sio hii sasa, hawa ni sarakasi kanisani😅mbuz kagoma kwenda mbele ya ukumbi wa harus
Hama hilo kanisa kwa sababu huwezi kumwambia na akajirekebishaNB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.
Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.
Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Takataka promax! Yaani wasiseme hata utangulizi?Wewe ndio takataka. Kwanza KANISA KATOLIKI SIO dhehebu. Bwege ata hujui historia ya ukristo. Madhehebu ni hao waliojitoa. Muda wa mahubiri ni baada ya injili tu. Huko kwingine ni kushindwa kumanage muda.
wew ushakua na mambo ya kizungu hatukuwez sis waswahili tuna mambo mengi.Huwa napenda misa za kingereza. Hizi nonsense ni kwa mbali.