Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

Huku Kwa walokole
Inapigwa pambio Kanisa zima linazunguka kutakiana heri hata round mbilimbili.
Labda aende kwa waadventist.
Huko hakuna (Misa). Ukielewa tofauti ya misa na Ibada utaelewa kwanini ijumaa kuu hakuna Misa bali Ibada. Mimi KANISA kamwe sihami ila nasema mambo yanayonikwaza Ili kama kweli yanashida yafanyiwe kazi. Mimi siwezi kwenda kwa KANISA lingine maana hawana Misa bali matamasha. Kwanza kwa sabato sio ata wakristo.
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.we
Wewe sio mkatoliki, wakatoliki hawana jumapili bali Dominika, siku ya Bwana, sio siku ya mambo mengine kama huwezi kuvumilia kwa nyumbani au kusali kwa mwamposa
 
NB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.

Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.

Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishw

level Yako ya uvumilivu ni ndogo. Mimi nimezaliwa catholic nikala skrament zote kasoro ndoa na mpako wa wagonjwa. Nikaenda kwa wapendwa halooo kati ya watu wa ajabu kwenye kuendesha ibada ni walokole duh, unakaa mpaka unachoka, logic ya ibada hamna, shida tupu ila catholic dah!, Wanajua sana kwenye masuala hayo.
 
Kunautofauti mkubwa sana ukisali kwenye makanisa ya ushuani na haya ya kitaa sijajua nadhani mapadre wanahubiri kutokana na aina ya waumini ukisali ushuani unapata ile test halisi ya ukatoliki ile tuliyokuwa tunaipata miaka miaka 90s😂😂😂
 
Umenikumbusha, ata mimi nililazimishwa eti lazima nitoe jina mtakatifu anayefahamika. Yani ilibidi nimhoji yule padri, nkamwambia jina lina maana fulani kwa lugha yetu, alafu nikamuuliza je hao WATAKATIFU majina yao si ya kikwao? Kwani mwanangu Ina maana akiwa mtakatifu jina la kiafrika si linapanda hadhi? Akatulia nikabatiza. Nilisahau hii kero.
Mi tulibishana bado kidogo nimwambie ubatizo wenyewe sitisheni tuu, kuna mtu pembeni eti ananiambia usibishane na mtu wa Mungu hapo haongei yeye, hiyo ni sauti ya Mungu kupitia yeye. Nikasikitika tuu.
 
Back
Top Bottom