Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 30,330
- 87,706
Aisee wewe motoni moja kwa moja🙆🏽♀️au macho yangu jaman, mim naona mbuzi wawil pichan
Aisee wewe motoni moja kwa moja🙆🏽♀️au macho yangu jaman, mim naona mbuzi wawil pichan
Hii inatokea sana hapa Mbezi Juu parokia ya Mt Dominico. Kuna Father Daniel Kilala, ni kero tupu kwa kwenda mbeleNB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.
Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.
Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Wewe nimekushangaa tu.Labda kuna mtu alikushawishi uende kusali mara moja.Hivi kuna dhehebu ambalo muda wa kukaa kanisani ni mchache kuzidi kanisa Katoliki hadi ulalamike? Misa ikiwa ndefu sanaaa ni 3hrs wakati wenzetu wanasali hadi masaa kumi na wasabato huwa na break kabisa.Mwisho kwa utaratibu wa kanisa katoliki kila Parokia,Jimbo na Metropolitan inajitegemea hivi kama unawazo peleka kwa paroko maana ulichosema kinamhusu Padre labda mmoja na hakilihusu kanisa zimaNB.UZI NI KWA WAKRISTO WAKATOLIKI TU.
Kuna baadhi ya mambo huwa yananikwaza kiukweli kanisani wakati wa misa.
1.Padri kuhubiri wakati ambao sio wa mahubiri. Yani padri misa inaanza tu maneno kibaoo. Muda wa mahubiri anaongea sanaaa, vitu vilevile, muda wa kumaliza misa anaanza tena kupiga porojo zizizo na msingi. Muda wa matangazo anaanza tena upya. Yani very selfish na inconsiderate.
2. Muda wa kutakiana amani, hakuna kitu SIPENDI kama padri kuanza kulazimisha watu waambiane kitu na kupeana mikono, mfano, mwambie jirani yako blah blah, Yani kinanikwazaga sana hiki kitu, hakina umuhimu Wala ulazima kiliturjia.
Vingine vipi ila kwa haraka ni hivi. Vinapoteza sana focus ambaye inatakiwa iwe ni kwa Yesu. Au Kama Kuna vingine ongezeni, Kama ninakosea pia nisahihishwe.
Sasa atatokajeAh wapi labda atoke yeye. Wanatuharibia KANISA.
Toka pepo.Nenda kwa Mwamposa ukauziwe udongo.
Wewe nimekushangaa tu.Labda kuna mtu alikushawishi uende kusali mara moja.Hivi kuna dhehebu ambalo muda wa kukaa kanisani ni mchache kuzidi kanisa Katoliki hadi ulalamike? Misa ikiwa ndefu sanaaa ni 3hrs wakati wenzetu wanasali hadi masaa kumi na wasabato huwa na break kabisa.Mwisho kwa utaratibu wa kanisa katoliki kila Parokia,Jimbo na Metropolitan inajitegemea hivi kama unawazo peleka kwa paroko maana ulichosema kinamhusu Padre labda mmoja na hakilihusu kanisa zima
Takianeni Misa ikiisha ng'ombe wewe .WE BABA UNA ROHO YA KISHETANI HATA KANISANI KOMA IWE MWIKO KWENDA USIJE TENA.
WATU TUSITAKIANE MEMA? TUSIJULIANE HALI? TUSIFUNZWE?
WATU TUMEKENGEUKA SANA SIKU HIZI TUMEKUWA WANYAMA
WE BABA KOMA HAMIA MORAVIAN
siku nafka dar mara ya kwanza nilifka j,pili asubuh ubungo.Sio hii sasa, hawa ni sarakasi kanisani
nahapo ungeniulza maharus wamevaaje nisingeweza jibu sikuwafocusAisee wewe motoni moja kwa moja
Hiyo kawaida sana kwa walokolole😅siku nafka dar mara ya kwanza nilifka j,pili asubuh ubungo.
mwenyej wang kanipokea na tukaenda kanisan kwa kakobe ili jion twende hom.
Asee nilijiulza haya ni maombi? Au ni mazoez ya viungo vya mwili?
Maana ngumi makofi mateke wanampiga shetani.
Wanapgana na upepo.
Wewe umechanganya picha hii na ile maharusi wamepewa zawadi ya mbuzi, mbuzi wakaanza kulana mbele yaonahapo ungeniulza maharus wamevaaje nisingeweza jibu sikuwafocus
Wewe umechanganya picha hii na ile maharusi wamepewa zawadi ya mbuzi, mbuzi wakaanza kulana mbele yao
Hiyo kawaida sana kwa walokolole
ooh kumbe nili quote picha ingne bhanaWewe umechanganya picha hii na ile maharusi wamepewa zawadi ya mbuzi, mbuzi wakaanza kulana mbele yao
Wew kawaida ndo unipulize na kimbunga cha ngumi yako utadhan mim ndo shetan?Hiyo kawaida sana kwa walokolole
Wewe kumbe hujaona mengi, siku nikupeleke ukaone tunavyomg’oa na kumtandika shetani😅Wew kawaida ndo unipulize na kimbunga cha ngumi yako utadhan mim ndo shetan?