BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Naamini wengi wetu tupo kwenye daraja la kujikomboa kutafuta pesa ya kujenga makwetu huku bado tukiwa ndani ya nyumba za wenzetu(tumepanga)
Na pia ni kwa wale ambao wapo njiani kuelekea kupanga
1.Kuwa Bize na mambo yako
Asubuhi salimia wakiitikia au wasipoitikia waachie wao wenyewe
2.Weka Pembeni Mazoea na wake za watu au wanafunzi. Kiukweli kama wataka uishi kwa amani mazoea na hilo kundi tajwa acha, maana kumbuka hao ni watoto na wake wa watu(so kuna mtu anaumiza kichwa kugharamia)
3.Kuwa msafi
Mara moja moja ingia chooni fanya usafi...!! Hapa utajipa CV ya kutendewa wema pia
4.Lipa Bili kwa wakati
Hapa nasemea kodi na bili zingnezo zinazokuhusu. Weka kichwani tarehe utakayohusika na bili yoyote na uitoe kwa wakati husika.
Kama huna omba muda na hakikisha unawapa kwa muda uliomba(hii hujenga uaminifu)
5.Punguza ngono chumbani kwako
Sio kwa kuwa una chumba unacholipia kodi ndo iwe ruhusa kuleta wanawke tofauti tofauti
Kama upo kwenye mahusiano chagua mmoja ambaye ndie atakayekuwa anakuja room. Hao vikojozi wengine chapia nje(hii itakuletea heshima kwa wapangaji wenzio lkn pia hata kwa landlord.
6.Kelele za radio
Sauti iwe ya kuridhisha na isiwe kero kwa wenzio.Sio lazima kila mtu asikie kuwa unamuangalia Shokosugi...!!
7.Marafiki wanaojielewa. Wengi tunapenda kuleta wageni wa jinsia zetu lkn pia yatubidi kuangalia rafiki wa kumleta.Jua kuwa utakayemleta atakuwakilisha wewe humo ndani. (ukileta mwizi then nawe ni mwizi)
8.Kumbuka angalau kutoa zawadi kwa majirani zako(sio lazima lakini).
Kuna muda waweza kurudi hata na machungwa ukawagawia wenzio hata watoto wao kama huna uwezo wa kumpa kila mtu
Hii itakusaidia kujenga uhusiano mzuri na wenzio. Yawezkana wao wakakukumbuka kwa jambo kubwa baadae
Ni mtazamo wangu tu.
Na pia ni kwa wale ambao wapo njiani kuelekea kupanga
1.Kuwa Bize na mambo yako
Asubuhi salimia wakiitikia au wasipoitikia waachie wao wenyewe
2.Weka Pembeni Mazoea na wake za watu au wanafunzi. Kiukweli kama wataka uishi kwa amani mazoea na hilo kundi tajwa acha, maana kumbuka hao ni watoto na wake wa watu(so kuna mtu anaumiza kichwa kugharamia)
3.Kuwa msafi
Mara moja moja ingia chooni fanya usafi...!! Hapa utajipa CV ya kutendewa wema pia
4.Lipa Bili kwa wakati
Hapa nasemea kodi na bili zingnezo zinazokuhusu. Weka kichwani tarehe utakayohusika na bili yoyote na uitoe kwa wakati husika.
Kama huna omba muda na hakikisha unawapa kwa muda uliomba(hii hujenga uaminifu)
5.Punguza ngono chumbani kwako
Sio kwa kuwa una chumba unacholipia kodi ndo iwe ruhusa kuleta wanawke tofauti tofauti
Kama upo kwenye mahusiano chagua mmoja ambaye ndie atakayekuwa anakuja room. Hao vikojozi wengine chapia nje(hii itakuletea heshima kwa wapangaji wenzio lkn pia hata kwa landlord.
6.Kelele za radio
Sauti iwe ya kuridhisha na isiwe kero kwa wenzio.Sio lazima kila mtu asikie kuwa unamuangalia Shokosugi...!!
7.Marafiki wanaojielewa. Wengi tunapenda kuleta wageni wa jinsia zetu lkn pia yatubidi kuangalia rafiki wa kumleta.Jua kuwa utakayemleta atakuwakilisha wewe humo ndani. (ukileta mwizi then nawe ni mwizi)
8.Kumbuka angalau kutoa zawadi kwa majirani zako(sio lazima lakini).
Kuna muda waweza kurudi hata na machungwa ukawagawia wenzio hata watoto wao kama huna uwezo wa kumpa kila mtu
Hii itakusaidia kujenga uhusiano mzuri na wenzio. Yawezkana wao wakakukumbuka kwa jambo kubwa baadae
Ni mtazamo wangu tu.