Kenya: Hakuna pasu kwa pasu tena, Mahakama imeamua wanandoa wanaoachana kila moja achukue chake au kuonyesha ushahidi wa mchango wa mali ya kugawana.

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Mahakama ya Upeo Nchini Kenya leo Januari 27, 2023 imetoa Uamuzi kuwa Wanandoa wanaoachana hawatagawana Mali nusu kwa nusu (50/50) kama ilivyokuwa awali bali kila Mmoja ataondoka na kitu chake, tena kwa kuonesha ushahidi kuwa ni Mali yake halali.

5769E450-3CA1-46C6-A529-A287637AC5E5.jpeg


Uamuzi huo ni Marekebisho ya Ibara ya 45 (3) ya Usawa katika Ndoa. Kila Mwanandoa atatakiwa kuonesha Mchango wake kwenye Mali za Familia.
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?
 
iletwae na huku kwetu.
kuna watu wamefanya ndoa kama mchezo, wanaolewa leo ila baada ya mwaka ndoa hakuna wanataka pasu kwa pasu,

ukiuliza mchango wake eti kumpasha maji ya kuoga mwenzake anaeenda kuhangaika siku nzima,

sh*nzy taipu
 
Sheria hii ni kandamizi kwetu sisi wanaume, ikizingatiwa kwamba sisi ujipanga ipasavyo kabla ya ndoa kuliko wenza wetu.

Ndoa ikivunjika Kila mtu aondoke na kilicho chake. Tabia ya wanawake kuvizia mali zetu , wengine wakienda mbali hadi kututoa uhai ilimradi wamiliki mali zetu siyo nzuri kabisa.

Kama mwanamke alikuja na begi lake moja basi ndoa ikivunjika abebe begi lake moja hilo hilo hakuna cha kugawana mali pasu.

Na tena athibitishe kwamba ni begi lake kweli na alikuja nalo.

Kama ni mapenzi/upendo tunafaidi wote, yaani tena yule mwanamke ambaye hujazaa naye ukitoa mbususu hakuna anacho offer zaidi ya kunyonya mali zako tu.

Hii itapunguza migogoro ya kifamilia, tamaa za wanawake kuvizia mali za wanaume wao.

Kama mmezaa pamoja, mali zibaki kwa mwanaume na watoto. Ikiwa hamjazaa pamoja, ndoa ikivunjika abebe alichokuja nacho tu na kuondoka zake.

HAKUNA KUVIZIA MALI ZETU, WANAWAKE NA NYIE JITUMENI MMILIKI ZENU KWANZA, KABLA YA KUJILENGASHA NA KUNYEMELEA MALI ZETU WANAUME.

Kenya tayari wamepitisha hii sheria, Tanzania tunasubiri nini?

Upuuzi huu
 
Mahakama ya juu nchini Kenya imesema kuwa sheria mpya kwa wenzi wa ndoa wanaoachana itawanyima haki ya moja kwa moja ya kugawana asilimia 50 kwa 50 ya sehemu ya mali ya ndoa baada ya talaka, bali hivi sasa kila mtu atapaswa kuondoka na kitu chake alichotafuta kwa jasho lake, hata kwa mali za kugawana kuwe na ushahidi wa kina juu ya mchango wa kila mhusika.

Ni hatua nzuri sana, ndoa za kimkakati zitapungua, Kuna wale wanawake wenye tamaa ya pesa huwa wanaingia kwenye ndoa kwa lengo la kuja kuvuna mali kirahisi kwa mbeleko za pasu kwa pasu, uoga wa kulazimisha ndoa iliyoshindikana kwa kuogopa kugawana mali nako kutapungua. wanawake waliotokea familia masikini wataepukana na ndugu wanaowashawishi wavunje ndoa ili familia ipate pesa.
 
Bado Ina changamoto nyingi, dada asie na kazi wala biashara, lakini ndie aliezaa na kulea watoto na familia yote, hana mchango wowote?, Kama anao ni sh ngapi kwa mwaka
 
Bado Ina changamoto nyingi, dada asie na kazi wala biashara, lakini ndie aliezaa na kulea watoto na familia yote, hana mchango wowote?, Kama anao ni sh ngapi kwa mwaka
Watoto wanalea wazazi wote wawili kila mmoja anabeba majukumu fulani katika kutimiza wajibu wa kulea familia, acheni kujifanya wajanja kwa kutaka kudhulumu haki za wengine.
 
Back
Top Bottom