Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,859
- 3,914
Rest In Peace Shujaa.
Hawakui hawa watu.....Itakuwa anafix age...kama Wema vile
Hata huyu babu nasikia alikuwa na 101 ila ndo hivo serikali inasema 97Hawakui hawa watu.....
hatari sana
Hivi kitambaa alichoshika kinamaanisha nini
Naona almost picha zote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Historia ya lumumba huwa inaniliza pamoja na video zake alivyotekwa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Daah wameisha wote sasa...maana alibaki Kaunda na Mugabe
Nxt ni Mu7 na Ngongoti
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kenneth sio Keneth..!!Keneth sio kennedy
Ni ishara ya amani na upendoHivi kitambaa alichoshika kinamaanisha nini
Naona almost picha zote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Eimen...May his soul rest in eternal peace true son of Africa
Eimen...May his soul rest in eternal peace true son of Africa
Wimbo wa kitambaa cheupeHivi kitambaa alichoshika kinamaanisha nini
Naona almost picha zote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app