ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,448
- 1,706
Ungemshauri mkweo mkwanza, halima anakuhusu nn??
Gwajima ana ulaanifu uyu, kawatafuna sana kondoo wake uyu gwajima, apo hakuogopa kamsaliti mkewe sembuse kuwasaliti nyie wana-kawe.
Gwajima kahahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu ya uko kawe kuwa sunday school, waislam tunalijua hilo na tuna jambo letu tatehe 28.10.
Twende na halima mdee msemaji wetu mahiri uko bungeni.
Gwajima ana ulaanifu uyu, kawatafuna sana kondoo wake uyu gwajima, apo hakuogopa kamsaliti mkewe sembuse kuwasaliti nyie wana-kawe.
Gwajima kahahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu ya uko kawe kuwa sunday school, waislam tunalijua hilo na tuna jambo letu tatehe 28.10.
Twende na halima mdee msemaji wetu mahiri uko bungeni.
Kwa kweli Halima dada yangu namshauri kwenye hili la ubunge apumzike tuu