Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
hahaha nahisi watu watazomea "everybody say unoo"Kama ni mtumbuizaji atakuwa Harmonize akiwekewa lile nyimbo la UNO
Hahahhahha
hahaha nahisi watu watazomea "everybody say unoo"Kama ni mtumbuizaji atakuwa Harmonize akiwekewa lile nyimbo la UNO
Hahahhahha
Eeeka Mai akoNaantombe Mushi
Uliona wapi dicteta ana fanya kampeni acha ufala bwana mdogohana sera. ana ajenda ya kuendelea kuitawala nchi kidikteta.
Hautaamini th 28Huyu kura hapewi
Wanawake weupe ndiyo Kipenzi cha Magufuli. Hata mkewe (Magufuli) atampigia kura Tundu Lissu.
Kwa sasa, habari ya mjini ni Tundu Lissu.
Tarehe 29 muda kama huu tunapata supu ya kuku wa kienyeji huku tukifuatilia matangazo ya ushindiHautaamini th 28
CCM sio chama cha uwana harakati useme wapenzi wake wasugue lapa kutoka morogoro hadi dar kisa tu mapenzi ya chama wakati mgombea wenu yupo ndani ya v8 huo ni uzwazwa wanauweza chadema peke yake.Vipi leo mnasomba watu kama ng'ombe kutoka wapi, juzi hapa kinyerezi walilazimisha kila mwenyekiti wa mtaa alazimishe watu 30 na makosta yanabeba,kama mnapendwa watu watakuja wenyewe kwanini mnaforce watu?yaani mnajitekenya aibu gani hii kwa chama tawala ,mmekosa mvuto
Kwani kuna ubaya? Mtu hafundishwi jinsi ya kutumia hela yake bali anafundishwa jinsi ya kutafuta.Kuna Coaster niliikuta Bunju imebeba wana CCM tupu ndani, huku kila mmoja akipewa 5000 kuwa ni nauli ya kurudi toka kwa "Mheshimiwa".
Unajilinganisha chadema na ccm kiuchumi? Ebu piga hesabu ndogo ya maeneo ccm inayomiliki aswa fremu za biashara hapo ulipo then zidisha kwa tanzania nzimaCcm wanatoa wapi pesa yote hii
Tutawakong'ota mpaka maji muyaite mma.Kinachofanyika sasa ni kulinda ushindi dhidi ya Intarahamwe CCM. Na this time hatutakubali
Hana sera. ana ajenda ya kuendelea kuitawala nchi kidikteta.
Tarehe 28/10/2020 siyo mbali ngoja tusubiri kama unayoyasema ni ya kweli.Kinachofanyika sasa ni kulinda ushindi dhidi ya Intarahamwe CCM. Na this time hatutakubali
nye makima mmekosa hojaCCM sio chama cha uwana harakati useme wapenzi wake wasugue lapa kutoka morogoro hadi dar kisa tu mapenzi ya chama wakati mgombea wenu yupo ndani ya v8 huo ni uzwazwa wanauweza chadema peke yake.
Unapofurahia haya ya uvunjifu wa amani huko chato, jitafakari.Ni kweli kabisa kwa sasa habari ya mjini ni pinga pinga na msema hovyo Tindu Lisu kufundishwa adabu na watu wa Chato