Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Yaliyojiri mkutano wa Dkt. Magufuli katika viwanja vya Tanganyika Packers

Vipi leo mnasomba watu kama ng'ombe kutoka wapi, juzi hapa kinyerezi walilazimisha kila mwenyekiti wa mtaa alazimishe watu 30 na makosta yanabeba,kama mnapendwa watu watakuja wenyewe kwanini mnaforce watu?yaani mnajitekenya aibu gani hii kwa chama tawala ,mmekosa mvuto
CCM sio chama cha uwana harakati useme wapenzi wake wasugue lapa kutoka morogoro hadi dar kisa tu mapenzi ya chama wakati mgombea wenu yupo ndani ya v8 huo ni uzwazwa wanauweza chadema peke yake.
 
Kinachofanyika sasa ni kulinda ushindi dhidi ya Intarahamwe CCM. Na this time hatutakubali
 
Back
Top Bottom