Ushindwe katika jina la YESU! Naikiwezekana akurudi wewe pia!Naomba mvua ianze tena
Nani kasema serikali iajiri? Serikali inaweka mazingira ya kutengeneza ajira. Mfano kurasimisha idara ya sanaa, kurahisisha cost za kufungua biashara (TRA inasumbua), intellectual property rights kusimamiwa n.k sasa ikifeli huko hakuna solution.Serikali itatoa Ajira ngapi wewe ?? Hata akiajiri bado watu wengi watabaki mtaani. Tatizo la ajira halijaanza leo! Mbona zimetolewa ajira za madaktari na walimu , hamulioni Hilo!. Miuondombinu inayojengwa si kuna ajira zinazalishwa mule?? Acheni kujitia upofu!.
Huu ndio upuuzi wa JF yeye kahoji makundi ww unajibu specifically kwangu mimi? Kwani kura yangu si moja tu. Hapa ongelea 15M plus vijana wasio na ajira sababu ya mitaji ama mazingira kutowekwa vizuri na serikali.Kama miradi yote hii iliyojengwa hukupata ajira ujue wewe ni wale wale ambao wanawza zile ajira za kukaa ofisini kama walivyoambiwa na mababu zao> Mimi nipo kwenye ajira miaka 16 ila kipato cha nje ya ajira ni kikubwa hadi huwa najiuliza huu utumwa wa vyeti ulinipotezea muda sana, njoo kanda ya ziwa kwenye migodi ya wachimbaji wadogo wadogo uone wenzako graduates wa vyuo vyenye heshima kama MUHAS wanavyokamua pesa wewe!
mwache asome,amezoea uongo..anaogopa kupiga bomu la uongoAskofu Gwajima vitu vidogo tu mpk asome kaandika kwenye simu na note book. Huyu angebaki tu kwenye kanisa lake huku ule mvuto aliokuwa nao wakati wa masakata yake na Pengo na Makonda nk kiasi watu kuwa radhi kumsikiliza kwenye clip na kwenda kanisani huku hana kbs kwenye siasa anazungusha kiuno tu
Sialisema hapeleki maendeleo kwa wapinzani, asituone ss ni wajinga!! tar 28 tuna jambo letu!!Jua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli...
Mbona Kama magufuri anatumia Nguvu kubwa Sana kumnadi Gwajima kuliko mgombea ubunge CCM.kunanini?Apo kaweJua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli...
My humble and honest observation kwa Jiji la DSM;Kawe hiyo: Shughuli imeisha