Ili uweze kuaminika ktk jamii yakupasa kutenda na kusimamia haki na kuilinda.
Shekhe wa mkoa wa DSM amejitwisha zigo la kuipigia kampeni CCM na amejipa nafasi ya mufti kuwasemea waislam wote nchini Tanzania. Lkn kwa kuwa Shekhe huyu anakipigia debe chama dola hatukuwaona hawa wanaojiita wahadhiri wa dini ya kiislam wakikemea tabia ya sekhe wa mkoa wa DSM.
Lkn kwa Shekhe Ponda ambaye ameanza kampeni juzi tu, tayari wametoka walikotoka mashekhe hawa ambao hata kujulikana hawajulikani na kuanza kutoa matamko ya kulaani kauli ya Shekhe Ponda. Wanadai Shekhe Ponda siyo msemaji wa waislam nchini.
Walikuwa wapi kumkemea Shekhe wa mkoa wa DSM?
Shekhe wa mkoa wa DSM amejitwisha zigo la kuipigia kampeni CCM na amejipa nafasi ya mufti kuwasemea waislam wote nchini Tanzania. Lkn kwa kuwa Shekhe huyu anakipigia debe chama dola hatukuwaona hawa wanaojiita wahadhiri wa dini ya kiislam wakikemea tabia ya sekhe wa mkoa wa DSM.
Lkn kwa Shekhe Ponda ambaye ameanza kampeni juzi tu, tayari wametoka walikotoka mashekhe hawa ambao hata kujulikana hawajulikani na kuanza kutoa matamko ya kulaani kauli ya Shekhe Ponda. Wanadai Shekhe Ponda siyo msemaji wa waislam nchini.
Walikuwa wapi kumkemea Shekhe wa mkoa wa DSM?