Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,510
- 7,511
Magufuli aliamini sana jeshi, sana kupita kiasi. Aliamini jeshi hakuna kitu linashindwa. Ndivyo madikteta wanakuwa hivyo lakini.Kwanini magufuli alimtumia mabeyo??? Angali viongozi wake wa juu wapo??? Magu alimuamini Sana mabeyo, alijiona yupo salama akiwa Naye kuliko kiongozi yoyote.