CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
 
Nimeshangaa pia:
  • Dar es Salaam walikuwepo watatu: CDF, IGP & DGIS
  • Makamu wa Rais alikuwa Tanga, Waziri Mkuu alikuwa mkoani (Dodoma or elsewhere)
  • Lakini Waziri Mkuu aliitwa na alipata taarifa mapema, kabla ya Makamu wa Rais
Something is fishy here.
 
acheni kukuza mambo hata wewe unaweza kufahamu rais kafariki hata kabla ya watu wake wa karibu!.. vipi kama makamu hakufikiwa kwa wakati mpk taarifa ikamfikia waziri mkuu kwanza..?
swala la muhimu ni alipata taarifa na yeye ndie alietangaza kama itifaki inavyotaka.
sasa vichwa panzi mnakomalia kujadili nakuacha vitu vya maana tena vinavyowaathiri moja kwa moja karagabao kabisa.
 
Wabongo kwa kupenda kukosoa hatujambo. Mzee wetu japo katupa mawili matatu kama namna ya kutufariji tayari ishakuwa nongwa! Acheni unafiki na ujuaji basi, mnafanya Viongozi wanakosa UHURU wa kutueleza mambo yenye msisimko kwa Viherehere vyenu.
 
Nimeona Mabeyo akisema Magufuli {RIP} alivyoona hali yake ni mbaya na hawezi kupona tena, alimwambia Mabeyo amrudishe nyumbani.

Lakini Mabeyo akamwambia hawezi kuamuru hivyo, Magufuli akaonekana kumshangaa hata wewe CDF unashindwa kuamuru nirudishwe nyumbani?, Mabeyo akamwambia jukumu la kuamuru hivyo haliko chini yangu, hilo ni jukumu la madaktari.

Hata hili la Samia kuwa Tanga kwa shughuli za kiserikali, nalo linaweza kuwa tofauti na wengi tunavyodhani kwamba alifichwa.

Inawezekana ulikuwa mpango wao kutuficha sisi tusijue nini kinaendelea kumuhusu Magufuli, ndio maana hata PM nae akaja na hadithi Magufuli yuko mzima anachapa kazi, hii imekuwa tabia yao kutuficha hata ugonjwa wa viongozi wengine.

Unless Samia mwenyewe aje kuthibitisha vinginevyo, kwangu inawezekana kabisa licha ya Samia kuwa Tanga bado alikuwa anafahamu kila kitu kinachoendelea kuhusu afya ya Marehemu Magufuli, ni siri zao huko serikalini.
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Katiba kuhusu Rais na Makamu wake inafanana na katiba ya marekani kuwa Rais akifa Makamu anakuwa Rais. Sasa wewe unaonekana hujaangalia movie na series za kimarekani kuhusu vita iliyopo kwa Makamu kuutaka Urais!

RC Chalamila akiwa katika lindi la huzuni alisema kwa Katiba hii basi Rais aombe asipate Makamu Mchawi maana atamuondoa fasta akae yeye.

Kwa ilivyo Rais ni Taasis inayojiendesha kivyake na Makamu nae ni Taasis inayojiendesha kivyake kwa nchi yetu Rais ndio executive na Makamu wake anashughulika na Mazingira na Muungano basi. Mambo ya executive anapewa na Rais yale yaliyo katika level yake na ya vikao vya baraza la mawaziri so to say presidential general issues lakini exclusive zinabaki kwa Rais mwenyewe na vyombo vya dola vya nchi
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?

Wabongo bwana ujuaji mwingi Sana

Hivi unadhania mpaka mtu anakuwa CDF ni Jambo simple simple Sana eh

So wewe unajua utaratibu kuliko mkuu wa majeshi?

Tuache kujifanya wajuaji sana
 
Huyo mkewe mwenyewe alipata taarifa baada ya waziri mkuu na katibu mkuu kujua...mwanamke anabaki kuwa mwanamke kwenye mambo mazito..ndio maana unaona Samia ni rais wa mambo mepesi mepesi..safari za ulaya na arabuni, sherehe za kizimkazi, kucheza ikulu na wasanii pamoja na kina mwijaku na kina steve nyerere, kubadili mitandio na kujifukiza udi kwa chetezo cha umeme..kwenda kuangalia taarabu bwawani hotel.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Hizi ndo hoja za kujiuliza na kusaka majibu.
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Wewe unazungumzia Matokeo, hujui root causes. CDF amefanya kazi yake ya kutufahamisha nia ovu ya Sukuma gang dhidi ya Mama Samia. Wakajisahau kuwa kama Mungu ameruhusu kifo kitokee yeye ndio anayeruhusu nani awe Rais
 
Nimeshangaa pia:
  • Dar es Salaam walikuwepo watatu: CDF, IGP & DGIS
  • Makamu wa Rais alikuwa Tanga, Waziri Mkuu alikuwa mkoani (Dodoma or elsewhere)
  • Lakini Waziri Mkuu aliitwa na alipata taarifa mapema, kabla ya Makamu wa Rais
Something is fishy here.

Sio kila mtu anaweza kuhandle taarifa za msiba wa mtu

Na Kwa tamaduni za kiafrica wanaume kwanza ndio wanapeana taarifa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani, but cha kwanza wanaume lazima wakutane wapange mambo yatakuwaje

So mabeyo Yuko sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom