Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Ya kwetu yanawahusu kivipi?
Godfrey MWAMPAMBA ni Mtanzania na Mnyakyusa pyua!
Ya kwetu yanawahusu kivipi?
Kitendo cha kumuonyesha Serukamba anakojoa tafsiri yake ni yale MATUSI!
Ya kwetu yanawahusu kivipi?
Una maana ya katuni hii, inavyoonyesha jinsi bunge letu lenye spika alimesinzia, wabunge wanafanya wapendavyo; hadi kudharilisha kiti cha spika, kwa ujumla hakuna nidhamu. Hata hivyo sijaelewa kuhusu hizo chupi na soksi zilizoanikwa katika ukumbi wa bunge, wenye chupi na soksi hizo wako wapi? Je ndio utaratibu wenyewe, mambo yote self contain bungeni?
View attachment 92840
zaidi ni kuwa GADO alisoma chuo cha ardhi wakati huo kabla hajaamua kuwa full time cartoonist na amefanya interview hata na CNN kuelezea kazi zake. Ni ndugu wa cartoonist mwingine aliyekuwa akimchora 'Bi. Mkora'.
Najua ana uchungu na kinachoendelea katika nchi yake na hii cartoon angalau itawaumbua zaidi wanaojifanya hawaoni zaidi hata ya ile ya waandishi wa habari wa TZ
Ya kwetu yanawahusu kivipi?
Issue hapa ni Message je iko clear? hayo mengine hayatuhusu. Hii inasikitisha na kosa kubwa kuliko lote ni lile la kutomchukulia SERUKAMBA HATUA BAADA YA KUTUKANA MATUSI YA NGUONI.
Una maana ya katuni hii, inavyoonyesha jinsi bunge letu lenye spika alimesinzia, wabunge wanafanya wapendavyo; hadi kudharilisha kiti cha spika, kwa ujumla hakuna nidhamu. Hata hivyo sijaelewa kuhusu hizo chupi na soksi zilizoanikwa katika ukumbi wa bunge, wenye chupi na soksi hizo wako wapi? Je ndio utaratibu wenyewe, mambo yote self contain bungeni?
View attachment 92840
Una maana ya katuni hii, inavyoonyesha jinsi bunge letu lenye spika alimesinzia, wabunge wanafanya wapendavyo; hadi kudharilisha kiti cha spika, kwa ujumla hakuna nidhamu. Hata hivyo sijaelewa kuhusu hizo chupi na soksi zilizoanikwa katika ukumbi wa bunge, wenye chupi na soksi hizo wako wapi? Je ndio utaratibu wenyewe, mambo yote self contain bungeni?
View attachment 92840
Huyo Mchoraji ana hiyana wala hajui alichochora maana kawaweka wabunge wa CCM tu,ha
kuna Bunge lenye fujo na ngumi kama la Kenya yaani heri la Somalia.
Kwa kutumia kinywaji pembezoni mwa viunga vya BUNGE kweli ndio chanzo cha kuwehuka alikosema Mama Anna Abdallahwakati wakipitisha Azimio la Bunge hasa kuhusu Mlipuko wa Bomu huko Arusha kuwa watu kinachowaponza ni kuonekana kwenye Luninga
Kitendo cha serukamba kinatafsiri udhaifu wa kiti cha spika..!!kwamba hata kama kifanyike kiu gani cha aibu spika hana la kuamua especialy kitendo husika kikiwa kimefanywa na mmbuge wa ccm.Mkuu kukojoa si ndo kunaendana na ile f.... You?
kuna katuni imeandikwa seruka-ma?