Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

KyAAAAAElFTkSuQmCC
 
Kwanza huyo mchora katuni ni mtanzania aliyehamishia makazi yake Kenya
 
Bwana gado, taratibu bwana! Lakini kama ndio hali halisi, basi ni aibu.
 
inaonesha jinsi wabunge wa CHADEMA wasivyo na nidhamu ndio maana spika anawatoa sana nje
 
Subirini, baada ya miaka 20 ijayo. Ndiyo tutajijua sisi ni watu wa namna gani?. We are not serious!
 
JOY.JPG

[h=3]HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol[/h]
 
JOY.JPG

HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol
 
Meseji kubwa ninayoipata hapa ni kwamba wamechora Speaker amelala ndiyo maana Bungeni watu wanafujo kiasi hiki na kulifanya Bunge letu kukosa heshma mbona enzi za Sitta tulikuwa hatujawhi kusikia maneno kama Fakyuu, Mbwa nakadhalika? Ila wamtake radhi Speaker ina maana ana mdomo mbaya kiasi hiki?
 
JOY.JPG

[h=3]MCHORA KATUNI MAARUFU WA KENYA AMECHORA KATUNI HII KUHUSU BUNGE LA TANZANIA.[/h]
 
Meseji kubwa ninayoipata hapa ni kwamba wamechora Speaker amelala ndiyo maana Bungeni watu wanafujo kiasi hiki na kulifanya Bunge letu kukosa heshma mbona enzi za Sitta tulikuwa hatujawhi kusikia maneno kama Fakyuu, Mbwa nakadhalika? Ila wamtake radhi Speaker ina maana ana mdomo mbaya kiasi hiki?

Signature yako kiboko mkuu! Watasoma nyinyiemu.
 
Inaonekana kama kilabu cha pombe, spika ndio kaunta, wengine kama wamekaa na wapenz wao, wengine kama wamelewa, duuh! Hii ni hatari...huyu mchoraji si mchezo.
 
JOY.JPG

HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol

duh mambo ya dhihaka haya.... Mama makinda mpelekeeni hii picha kwa frame ni ukumbusho wake na kwa vitukuu wake jinsi alivyodhalilisha Kiti....
Makinda huna tofauti na aliyerusha bomu olasti .. wewe uliapa kwa Biblia na kwa dini yetu tumeambiwa dhambi zote sawa.. huyu wa olasti kaua direct wewe unauwa wengi indirect...kwa kushabikia uchama wako angalia watu wanavyokufa mahospitali, watoto wanaufa kwa njaa, watu wanakufa kwa pressure wamekopa hela kusomesha watoto mpaka nyumba wameuza na bado mtoto anatoka nz ziro... unasimamia na kutetea uhalifu ili tu ubaki madarakani...
wafuasi wa kristo wanatakiwa kufuata kristo alivyoishi... kumbuka alivyojaribiwa na shetani kuwa amsujudie atampa ulimwengu wote alimjibuje? wewe umeamua kumsujudia shetani ili uendelee kuwa madarakani... nasikia aibu kukuita mama.. Mungu akurehemu....
 
JOY.JPG

HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol

duh mambo ya dhihaka haya.... Mama makinda mpelekeeni hii picha kwa frame ni ukumbusho wake na kwa vitukuu wake jinsi alivyodhalilisha Kiti....
Makinda huna tofauti na aliyerusha bomu olasti .. wewe uliapa kwa Biblia na kwa dini yetu tumeambiwa dhambi zote sawa.. huyu wa olasti kaua direct wewe unauwa wengi indirect...kwa kushabikia uchama wako angalia watu wanavyokufa mahospitali, watoto wanaufa kwa njaa, watu wanakufa kwa pressure wamekopa hela kusomesha watoto mpaka nyumba wameuza na bado mtoto anatoka nz ziro... unasimamia na kutetea uhalifu ili tu ubaki madarakani...
wafuasi wa kristo wanatakiwa kufuata kristo alivyoishi... kumbuka alivyojaribiwa na shetani kuwa amsujudie atampa ulimwengu wote alimjibuje? wewe umeamua kumsujudia shetani ili uendelee kuwa madarakani... nasikia aibu kukuita mama.. Mungu akurehemu....
 
JOY.JPG

HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol

duh mambo ya dhihaka haya.... Mama makinda mpelekeeni hii picha kwa frame ni ukumbusho wake na kwa vitukuu wake jinsi alivyodhalilisha Kiti....
Makinda huna tofauti na aliyerusha bomu olasti .. wewe uliapa kwa Biblia na kwa dini yetu tumeambiwa dhambi zote sawa.. huyu wa olasti kaua direct wewe unauwa wengi indirect...kwa kushabikia uchama wako angalia watu wanavyokufa mahospitali, watoto wanaufa kwa njaa, watu wanakufa kwa pressure wamekopa hela kusomesha watoto mpaka nyumba wameuza na bado mtoto anatoka nz ziro... unasimamia na kutetea uhalifu ili tu ubaki madarakani...
wafuasi wa kristo wanatakiwa kufuata kristo alivyoishi... kumbuka alivyojaribiwa na shetani kuwa amsujudie atampa ulimwengu wote alimjibuje? wewe umeamua kumsujudia shetani ili uendelee kuwa madarakani... nasikia aibu kukuita mama.. Mungu akurehemu....
 
JOY.JPG

HII YOTE NI KUTOKANA NA BUNGE LETU KUPOTEZA MWELEKEO NA KUWA KAMA KIJIWE CHA WAHUNI AMBAO HAWAJUI WAMEKWENDA KUFANYA NINI MJENGONI .....................lol

duh mambo ya dhihaka haya.... Mama makinda mpelekeeni hii picha kwa frame ni ukumbusho wake na kwa vitukuu wake jinsi alivyodhalilisha Kiti....
Makinda huna tofauti na aliyerusha bomu olasti .. wewe uliapa kwa Biblia na kwa dini yetu tumeambiwa dhambi zote sawa.. huyu wa olasti kaua direct wewe unauwa wengi indirect...kwa kushabikia uchama wako angalia watu wanavyokufa mahospitali, watoto wanaufa kwa njaa, watu wanakufa kwa pressure wamekopa hela kusomesha watoto mpaka nyumba wameuza na bado mtoto anatoka nz ziro... unasimamia na kutetea uhalifu ili tu ubaki madarakani...
wafuasi wa kristo wanatakiwa kufuata kristo alivyoishi... kumbuka alivyojaribiwa na shetani kuwa amsujudie atampa ulimwengu wote alimjibuje? wewe umeamua kumsujudia shetani ili uendelee kuwa madarakani... nasikia aibu kukuita mama.. Mungu akurehemu....
 
Back
Top Bottom