Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 394
- 627
Mwangalie Serukamba hiyo ndiyo maana na neno lake Bungeni
Jamaa kafunguka kweli, kuna wanaochapa urabu, wapo wengine wanajiremba, wengine miguu juu ya meza, serukamba ndio kaua kabisa , ana......oa hadharani
hapana mtu akimla mkeo utasema akili zako umeshikiwa na mwizi wako? huyu kadhihaki bunge letu....Akili zako umeshikiwa na Wakenya?
utake usitake ndio bunge lenu hili na ww umeshiriki kuliunda kwa nguvu zote....Bunge gani unaliita tukufu, hili la mama Makinda? Mkiambiwa ukweli mnasema mnadharauliwa. Bunge gani hili, upuuzi mtupu!
Akili zako umeshikiwa na Wakenya?
wadau heb angalia jinsi wakenya wanavyodhihaki bunge letu tukufu,
View attachment 92823
Nini tena?serukamba ametuvua nguo watanzania wote kwa ujumla.
Nini tena?
Serukamba kaja na lipi, tunapitwa na baadhi ya yanayoendela bongo hasa ukiwa nje ya bongo