kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Hawajakosea sema wamesahau kuweka sehemu wanadooo! maana wakiwa dodoma machango wote wanahamia huko!
Shame Kiti cha Spika... Watanzania wote tunabeba aibu hii kwa wapumbavu wachache kama akina Ndugai et al...Bila ya kuweka mambo ya vyama mbele...Wabunge wa CCM wanaongoza kwa Ulevi, Kulala, Umalaya, Kupitisha sheria zenye kuitafuna nchi... Wabunge wa CCM wanaongoza kwa kushabikia mambo ya kijinga Bungeni badala ya kuiadabisha Serikali... I think Wakenya wako sahihi sana kwa hili...
Samahani mkuu. Kwa kuweka kumbukumbu, Mchora katuni hii (GADO) ni MTANZANIA.wadau heb angalia jinsi wakenya wanavyodhihaki bunge letu tukufu,
View attachment 92823
![]()
i have liked this..is this GADO?
tasfiri yake ni kuwa limekuwa genge ambalo kila mtu ana interest yake...
aliyekaa chini na sigara namfananisha na kibajaji... yaani teja wa upande ule..
waziri akliyepanik na kumropokea mwenzie aliyekaa kiti ya nyuma
anawakilisha mtazamo wa serekali ya ccm kwa wabunge wao wanaoihoji.............
kulala lala kwenye upande huo wa watawala kuna ishara ya u laize affair wa wabunge na serekali ya ccm....lugha ishara kuwa hoja zinapita na wao kuziunga mkono bila kupembua madhara yao kwao na kwa waliowatuma....
mkojo wa serukamba kwa kiti cha spika ni ujumbe kuwa tusi lile limedharaulisha kiti cha spika ambaye hata habari hana.........
kati kati kuna kijiwe (kaka na dada) kinachoonyesha kuwa kuna watu wako pale hawajui ni kitu gani kimewaingiza mjengoni kwao ni kula bata kwa kwenda mbele....
makatibu wa bunge..wao ni watumishi tu hawajalala..kwa mbaali mmoja anajribu kupunguza spidi ya upande wa pili
MASHATI YA KIJANI niishara ya chama kinachohisi kina kopiraiti ya kutawala.....kilichoshindwa kutafautisha utawala na uongozi
UPANDE wa pili - KWA WAPINZANI
kuna mikono miwili...mmoja unanyoosha kidole .... yaani unalaumu
KUNA MKONO mwingine.... unakaataa na kusema hapana......
kwa ujumla hii ndio hali halisi ya bunge letu..hongera mchoraji.....
Aliyechora hii katuni ni Mbongo, tena Mnyakyusa wa Mbeya.
Aliyechora hii katuni ni Mbongo, tena Mnyakyusa wa Mbeya.
Lkn wakuu nakumbuka hata Kenya mwaka fln ziliwahi kupigwa bungeni.
A man boasts his P... though small. Tuwe wazalendo tusikubali kutukanwa na media nje halafu tukashahabikia. Ninaomba wataalamu wa sheria washauri chakufanya.Bunge gani unaliita tukufu, hili la mama Makinda? Mkiambiwa ukweli mnasema mnadharauliwa. Bunge gani hili, upuuzi mtupu!
![]()
Mwangalie Serukamba hiyo ndiyo maana na neno lake Bungeni
Siendi kwa emotions mkuu, siwezi kusifia upup.u eti kwa vile ni "changu". Kuna nini katika hili bunge zaidi ya mipasho ya kijiweni? Tunaambiwa bunge ni kwa ajili ya kuisimamia serikali. Angalia hivi sasa kama kweli wanaisimamia serikali zaidi ya kuitetea. Eti niwe mzalendo, uzalendo au uzandiki? Natumia kichwa kutunza ubongo na akili wala situmii kichwa kubeba masikio na kufuga nywele mkuu!!!!A man boasts his P... though small. Tuwe wazalendo tusikubali kutukanwa na media nje halafu tukashahabikia. Ninaomba wataalamu wa sheria washauri chakufanya.