Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Kumbe Wakenya wanaona bunge letu lilsivyo makini.....

GADO japo anafanyia kazi zake Kenya ni Mtanzania. Alichokionesha ni ukweli mtupu wa Waheshimiwa wanaposhindwa kujiheshimu na kutuheshimu sisi tuliowatuma huko Bungeni, ambako sasa wamepafanya makutanio ya wafanya vituko! Keep it up brother GADO!
 
Uzalendo -F yani wakenya ukabila ,Njaa kibao uifananishe na Tz kwa demokrasia?halafu una comment mnAshadadia?Lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Issue hapa ni Message je iko clear? hayo mengine hayatuhusu. Hii inasikitisha na kosa kubwa kuliko lote ni lile la kutomchukulia SERUKAMBA HATUA BAADA YA KUTUKANA MATUSI YA NGUONI.
 
Watapita humu wabunge wetu watajiona walipofikia' Mungu ihurumie Tanzania'
 
Una maana ya katuni hii, inavyoonyesha jinsi bunge letu lenye spika alimesinzia, wabunge wanafanya wapendavyo; hadi kudharilisha kiti cha spika, kwa ujumla hakuna nidhamu. Hata hivyo sijaelewa kuhusu hizo chupi na soksi zilizoanikwa katika ukumbi wa bunge, wenye chupi na soksi hizo wako wapi? Je ndio utaratibu wenyewe, mambo yote self contain bungeni?

View attachment 92840

Hiyo picha ina tafsiri nyingi sana, kwenye hizo chupa na glass za wine inajibu hoja aliyoitoa naibu spika kuhusu session ya mchana ya wabunge wanavyoonyesha hali flani kama vile kuna vitu vyenye kilevi wametumia pia na makorokoro mengine hayo inaonyesha unaweza ukafanya chochote pasipo kuchukuliwa na hatua na mambo yakaenda
 
Ya kwetu yanawahusu kivipi?

East africa community mkuu yanatuhusu hawa jamaa ni mipaka tu imetutenganisha kuna wamasai wa kenya, wakurya wa kenya, wajaluo wa kenya na wamasai wa kenya ambao wanaingiliana na ndugu zao huku kwetu hivyo na wao wana maslahi na upande huu wa pili kama vile na sie kila watu wanapoongea kuhusu maendeleo reference inakuwa Kenya, utasikia "wenzetu kenya wamefika hapa na pale n.k"
 
attachment.php
 
Wanawashwa na pilipili wazizozila
Wenyewe hata hazituwashi lol
 
Afadhali kwamba katuni hii imechorwa na kutolewa na gazeti la Kenya. Lingekuwa ni la hapa kwetu, hilo gazeti lingefungiwa mara moja kwa amri ya mpenda sifa Lukuvi!!!!!

Tiba
 
Huyo Mchoraji ana hiyana wala hajui alichochora maana kawaweka wabunge wa CCM tu,ha
kuna Bunge lenye fujo na ngumi kama la Kenya yaani heri la Somalia.
Kwa kutumia kinywaji pembezoni mwa viunga vya BUNGE kweli ndio chanzo cha kuwehuka alikosema Mama Anna Abdallahwakati wakipitisha Azimio la Bunge hasa kuhusu Mlipuko wa Bomu huko Arusha kuwa watu kinachowaponza ni kuonekana kwenye Luninga
 
Kitendo cha kumuonyesha Serukamba anakojoa tafsiri yake ni yale MATUSI!
 
Wakaombe uhuru kenyata alifungie na hilo nalo, maana wamezoea kwa ubabe pasipo sheria

seru kamba yupo kazini na wenzake hoi kwa vilezi, mama zzzzz
 
Gado ni Mtanzania/ ni mzawa wa Tanzania kwa msiomfahamu. Kenya ni jirani ya Tanzania na mwanachama wa EAC.

Ndo yanavyowahusu hivyo.
zaidi ni kuwa GADO alisoma chuo cha ardhi wakati huo kabla hajaamua kuwa full time cartoonist na amefanya interview hata na CNN kuelezea kazi zake. Ni ndugu wa cartoonist mwingine aliyekuwa akimchora 'Bi. Mkora'.
Najua ana uchungu na kinachoendelea katika nchi yake na hii cartoon angalau itawaumbua zaidi wanaojifanya hawaoni zaidi hata ya ile ya waandishi wa habari wa TZ
 
Ya kwetu yanawahusu kivipi?
Soko la pamoja na EAC mkuu plus ujirani yanatosha sana, usiombe kuishi na jirani mwenye shida zake, kwa njia moja au nyingine atakukera tu pamoja na kuwa nawe una shida zako. So inawahusu
 
Back
Top Bottom