Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

attachment.php
Tusiwalaumu kwa kutupa ukweli! ila hili ni tusi la kweli. Makinda umeona na ayubu ndugai!? jamani mnatengeneza historia ya dunia. Even my patriotism has failed to defend you ------!!
 
Nini tena?
Serukamba kaja na lipi, tunapitwa na baadhi ya yanayoendela bongo hasa ukiwa nje ya bongo

Serukamba alitumian 'F' word wakati wa mjadala bungeni na kiti cha spika hakijamchukulia hatua mpaka leo hii.
 
Serukamba alitumian 'F' word wakati wa mjadala bungeni na kiti cha spika hakijamchukulia hatua mpaka leo hii.
DUh!
sasa nimeelewa iyo picha.
Esp Serukamba peeing on ?Ndugai
And I can also see some couple in love with glasses of wine.... ndo kina nani tena?
 
lile benchi la mwanzo, kiti cha kwanza anakaaga nani?
Note the way his middle finger is postured?
 
kweli wamelizalilisha bunge letu sana ndio amtokeo ya kuchangua viogozi vilazi na kuwapa dhamana ya kutuongoza bila kujali uwezo wao wa kiakili
 
Naunga mkono hiyo katuni, bunge limetekwa na serikali, spika amewekwa kwa malengo maalumu!
 
Kumbe Wakenya wanaona bunge letu lilsivyo makini.....

Una maana ya katuni hii, inavyoonyesha jinsi bunge letu lenye spika alimesinzia, wabunge wanafanya wapendavyo; hadi kudharilisha kiti cha spika, kwa ujumla hakuna nidhamu. Hata hivyo sijaelewa kuhusu hizo chupi na soksi zilizoanikwa katika ukumbi wa bunge, wenye chupi na soksi hizo wako wapi? Je ndio utaratibu wenyewe, mambo yote self contain bungeni?

View attachment 92840
 
Uzalendo -F yani wakenya ukabila ,Njaa kibao uifananishe na Tz kwa demokrasia?halafu una comment mnAshadadia?Lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom