Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

Tangu lini mvaa kobazi akawa upande wa Israel??
Mbona Saudi Arabia, UAE, Jordan ni waislam lakini ni team Israel? Au hujui hata 20% ya waisraeli ni waislam pia? Na hao hao wanajeshi wa kiislam wanatumika kupiga wairan!!
 
Anazunguka zunguka tu. Kuna muislam anaweza kuwa upande wa Israel? 🤣

Wao wanaamini wayahudi ni mashetani wamelaaniwa wanapaswa kuangamizwa
Kwani hao vibaraka Saudi Arabia sio waislam mbona wanawalamba miguu wayahudi?
 
Tatizo wavaa kobaz mna catch feeling mapema hivi vita sio vya kidini lakini ukisoma maandiko yenu meng nyie ndo wa kwanza kuleta udini nasema hivi Hawa Iran hawana tofaut na mbwa Koko kipigo wataendelea kucheza mpaka siku watakapo tia akili
 
Saudia Kuna yanayowafunga hawana namna. Ila Kwa ambae Hana kinachomfunga hawezi hata siku Moja.
Morocco wanafungwa na nini? Ila wanajikomba kwa wayahudi kuliko hata marekani. Msiweke udini, hiyo Afrika kusini ndio nchi ya kwanza kuishtaki Israel kwa mauaji ya halaiki huko Gaza ila Afrika kusini ni nchi ya wakristo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom