Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,787
- 218,415
Wewe ni Mataga?Nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu. Sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu. bIla akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali, Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
Mabeberu ndio nani? Wakoje? Hebu tupe picha halisi. Maana zaidi ya mbuzi dume, hatuwajui hao wengine. Ndio maana tuko njia panda, beberu lawezaje kumtumikisha binadamu?Nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
Vichaa ndio wana maoni yasiyo na chembe ya hoja kama yako. Mabeberu umebaki kuwa wimbo wenu na si hoja.
Hizo ARV unazotumia na wanaokuhusu zinatoka wapi?nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
Viongozi wenye maono ndiyo hawa wanaokuza uchumi kwa 2% kwa mwaka?nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
Miezi sasa imepita, je luzuku wanapokea au inaingia?View attachment 1717529
Ataongea kwenye Makao Makuu ya Chama , Kinondoni Mtaa wa Ufipa kuanzia saa 5 asubuhi , fahamu kwamba neno la Chadema ndio neno la wananchi .
Ni muhimu Tuzingatie mwongozo wa WHO wa kudhibiti maambukizi ya Corona kwa kuvaa Barakoa .
Wote Mnakaribishwa .
Nchi hii kasuku wameongezeka sananadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.
View attachment 1717606
Hata kama chanjo zimethibitika kufanya kazi ni kukomaa kwa musuli wa nguvu za mwili tu:
View attachment 1717607
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kukataa sayansi na kutegemea maombi ni ushirikina.nadhani anakuja kutoa semina ambayo wamepewa na mabeberu.sio mbaya tutamsikikiza agenda alizopewa na mabeberu.ila akae akijua Tanzania Ina viongozi wenye maono ya mbali,Tanzania Ina wananchi wenye thamani,Tanzania hatuko tayari kufanyiwa majaribio.