Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,408
- 1,825
Tatizo niwabunge
Hivi wewe umeona wapi mtu anaetunga sheria kwa lugha asiyoielewa?
Nchi ya ya ajabu sana hii. Eti ubunge sharti lake nikuwezatu kusoma na kuandika halafu mwalimu wa chekechea awe amemaliza kidato cha nne. Hii nchi ukifikiria unachokaaaa
Watu wanakaa kazi yao kupigatu meza. Ndio maana wametukana kwamba mambo ya miamala hawaelewi wajadili yakiganga.
Wewe umeona wapi mtu anapitisha sheria anaipigia makofi na akiifuta huyohuyo anaipigia meza. Hao jamaa elimu pia nikikwazo.
Hivi wewe umeona wapi mtu anaetunga sheria kwa lugha asiyoielewa?
Nchi ya ya ajabu sana hii. Eti ubunge sharti lake nikuwezatu kusoma na kuandika halafu mwalimu wa chekechea awe amemaliza kidato cha nne. Hii nchi ukifikiria unachokaaaa
Watu wanakaa kazi yao kupigatu meza. Ndio maana wametukana kwamba mambo ya miamala hawaelewi wajadili yakiganga.
Wewe umeona wapi mtu anapitisha sheria anaipigia makofi na akiifuta huyohuyo anaipigia meza. Hao jamaa elimu pia nikikwazo.