Wana mmenimind sana haina noma acha nikaushe...... ila muache ufala wenu... kuruka deile na chopa eti kazi maalum kazi gani hizo ? Nchi haina hata kinu cha nyuklia eti usalama,, usalama gani huo... nendeni israel au iran huko ndo mtajua usalama ni kitu gani.... bongo maigizo tu na kutumia kodi za wananchi vibaya hatuna usalama wala nn.....
ndo nyie mkipewa kazi miezi miwili tu mshanenepa kwa bia na kitimoto