Manesi watu wanawaogopa sana linapokuja suala la ndoa, wanaogopa kusaidiwa na madaktari.Nashukuru kama umekubaliana na mimi.
Na ndio maana Group la Kwanza Tanzania kwa Upande wa wanawake Waolewaji huwa ni Waalimu.
Mwalimu muda wote anacheza na akili za watoto,anajua ku-care ndo mana ndoa nyingi za hawa watu hudumu.
Anaebisha na abishe.
....chezea mauno ya Kimakonde wewe!!!
Mfyuuuuuuu....!!!
ha ha ha haaaah!! Mnawasifia sana hawa jamaa, lazima nirudi tena ili niprove kama kweli wana mauno ya kufa mtu kama mnavyowasifia.Naona umechezea sana zigo la shanga kwa toto la kimakonde
ha ha ha haaaah!! Mnawasifia sana hawa jamaa, lazima nirudi tena ili niprove kama kweli wana mauno ya kufa mtu kama mnavyowasifia.
Nashukuru kama umekubaliana na mimi.
Na ndio maana Group la Kwanza Tanzania kwa Upande wa wanawake Waolewaji huwa ni Waalimu.
Mwalimu muda wote anacheza na akili za watoto,anajua ku-care ndo mana ndoa nyingi za hawa watu hudumu.
Anaebisha na abishe.
Vp jana uliopoa demu? Au domo zege?
Hapo nakataa....
hellow thank lord leo nimejisajili rasmi kwenye baraza la kistaarabu hapa tz
hellow thank lord leo nimejisajili rasmi kwenye baraza la kistaarabu hapa tz
Kajisahau tu kuwa hapa sio mahali pa utambulisho, labda kaelekezwa aje anione kanikuta huku.
Sasa nimekuelewa......hawa wa sasa hamna kitu.