ipo sana,sema we mgeni huijui!
Anasoma shost!!
Hebu pata picha,katufundisha Form One na nilivyokutana nae ile juzi yupo vilevile hajazeeka wala nini.
Basi nilivyomuona nikajibaraguza kumsalimia.
Afu c unajua me na yeye tulikuwa na bifu tangu nasoma!
Basi nikamsalimie afu me Nshaaa..!!!
Akabaki katoa macho kama anatunga uzi gizani.
Ataijulia wapi wakati mtu mwenyewe kakulia Kiyanga.
Basi next month nitatoa taarifa mapema ili wenyeji mnionyeshe mitaa na mnipe maujanja ya Ntwara.
nlizan ashakua kikongwe sasa! alikutamanije! me nlikutana na mama mshana nlimpita kama cmjui akabaki kunishangaa 2!
Huko Kiyanga na Miseti ndio wapi??
Huko Kiyanga na Miseti ndio wapi??
Yani yule mmama kwa kuwa alikuwa ana ulinzi nyumbani kwake ila nilikuwa namtamani kitambo.
Afu vipi vile vimiguu vyake vya 'mswaki kwenye jagi' vimejaajaa nyama?
Afu yule mkuu wetu alikuwa mgoni yule balaa.
Hv unakumbuka alishawah kufumaniwa enzi tuko form 2?
...na kaolea Chikongola.
Ina huuu...
ukija next time ntakupeleka,mitaa ya jirani na ocean sec shool
aihuu shost!