BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Jamila Yusuf ameeleza kuwa amekerwa kwa tukio la baadhi ya wakulima katika Manispaa ya Mpanda kufyekewa mahindi yao ambapo amesema kitendo hicho si cha uungwana katika mstakabali wa maisha ya wananchi.
Jamila amesisitiza viongozi wa mtaa na kata kuhakikisha wanatekeleza sheria kwa wakati sahihi na sio kuchukua maamuzi kwa kuviziana.
Aidha, Jamila amewasihi wakulima waliofyekewa mahindi kuwa watulivu uongozi wa Wilaya unafanyia kazi malalamiko hayo kuona namna bora ya kumaliza tatizo hili kwa njia nzuri zaidi.
Wananchi wa Mpanda walifyekewa mahindi kwa sababu ilizuiwa kupanda mazao marefu katikati mji.
Soma zaidi >>> Zaidi ya heka 6 za Mahindi zimefyekwa Mjini Mpanda
Jamila amesisitiza viongozi wa mtaa na kata kuhakikisha wanatekeleza sheria kwa wakati sahihi na sio kuchukua maamuzi kwa kuviziana.
Aidha, Jamila amewasihi wakulima waliofyekewa mahindi kuwa watulivu uongozi wa Wilaya unafanyia kazi malalamiko hayo kuona namna bora ya kumaliza tatizo hili kwa njia nzuri zaidi.
Wananchi wa Mpanda walifyekewa mahindi kwa sababu ilizuiwa kupanda mazao marefu katikati mji.
Soma zaidi >>> Zaidi ya heka 6 za Mahindi zimefyekwa Mjini Mpanda