JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,462
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf amemtaka mwekezaji huyo ndani ya siku saba awe amesimamisha shughuli zake katika eneo hilo la Mto Mtisi ambapo mto huo ndio tegemeo la Wananchi hao.
Mbali na hayo Jamila amewataka Watumishi wa Halmashauri ya Nsimbo kufanya kazi kwa kuzingatia hitaji la Wananchi ili kuepuka migogoro.