Ukienda upande wa logic pia unaprove kuwa clip hiyo is a descent simulation..Huyo aliekuwa anaelekezwa mbona hajachangia chochote?na hajaonyeshwa karibu dakika zote...intentionally alieonyeshwa ni rwakatale tuu ambae ndio walimtarget...mpango huo haukuwa na mshiriki mwingine yoyote?matukio yaliyozungumzwa ya igunga na morogoro...nashangaa jeshi zima la polisi kukurupukia ujinga kama huo wanaacha mambo ya msingi...