Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kama ni ya kweli mbona hawampeleki mahakamani? walitegemea chadema hasa uongozi wa juu utayumba lakini wamechemka kila mtu anaendelea na majukumu yake aliyopangiwa. Mbowe leo alikuwa shytown ccm mnajidanganya tu CDM haiweziyumba kwa fekero video ambayo hata mtu ambaye hajui IT atabaini mapema content and location hata movie director ray hawezifanya ujinga huo.
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa sakata la lwakatare kwenye video inayoonesha mh. lwakatare akipanga MBINU CHAFU. sasa ninajiuliza, kama hii videoa imefanyiwa BAD LIP READING, ni lazima kutakuwa na original video ambayo waliirekodi, ambayo inaushahidi wa kimazingira na kimatamshi. mfano zile za akina obama ''inauguration video" zipo halisi na zilizofanyiwa "BAD LIP READING" Kama ipo video ambayo inaonesha maneno halisi ya lwakatare na siyo hayo ya kutengeneza, sasa basi ili kuweka mambo sawa na kuwaumbua hao watengenezaji waiachie na hiyo original. ni hayo tu.

so unataka tuvamie kwa Igondu?
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa sakata la lwakatare kwenye video inayoonesha mh. lwakatare akipanga MBINU CHAFU. sasa ninajiuliza, kama hii videoa imefanyiwa BAD LIP READING, ni lazima kutakuwa na original video ambayo waliirekodi, ambayo inaushahidi wa kimazingira na kimatamshi. mfano zile za akina obama ''inauguration video" zipo halisi na zilizofanyiwa "BAD LIP READING" Kama ipo video ambayo inaonesha maneno halisi ya lwakatare na siyo hayo ya kutengeneza, sasa basi ili kuweka mambo sawa na kuwaumbua hao watengenezaji waiachie na hiyo original. ni hayo tu.

mkuu ushawahi angalia tamthiliya za Wafilipino? Angalia Star Tv ipo inaitwa Mara Clara. Au ile Maudodo ya wachina? Fikiria upya
 
mi mshika jezi wa chadema we wa Mwigulu,wala mi si wa kwanza na pekee kuikanusha video yako na Mwigulu,maana kama kuikanusha ni chadema basi kuipigia upatu ni Gamba.
Eti wewe sio kwanza kukanusha; so what?! Yaani kwavile wenzako wanakanusha na wewe unakanusha tu hata kama grounds hunazo?! Hivi unafahamu kwamba nyani mmoja akili yake ni nusu ya akili ya mwanadamu?! Sasa kukiwa na manyani 72 usizani kwamba ndo watakuwa na akili 36; bado collectively watakuwa na akili ile ile nusu ya binadamu..so, it doesn't matter wangapi mnakanusha.....wote mnasukumwa na ushabiki usio na tija. Look at my signature, am free thinker...sipo hapa kutetea upumbavu wa mtu yeyote kama unavyofanya wewe na wenzako! CHADEMA wakikosea nawachana hali kadhalika CCM wakikosea nao nawachana! Na yeyote kati yao akifanya mazuri nawasifia...sio kama nyie wengine CHADEMA hata wakifanya upumbavu, mtatetea tu, na CCM lolote watakalofanya, ni baya tu...na ndio maana nikakuita wewe ni sawa na mshika jezi tu za CHADEMA na wala kinachofanyika CHADEMA hukijui.
 
Sasa mwenye uwezo mdogo wa ku-analyse hapa nani; mimi au wewe?! Yaani kwa akili yako the issues is as simple as kutengeneza animation?! Una hali mbaya sana ya ufahamu!! Kwani ile sauti ya katuni ni yake mwenyewe?! Hivi unaelewa maana ya ku-link similar voice?! Unaweza ku-fake hata lips vibration, hapo hakuna tatizo!! tatizo linakuja pale katika utiaji wa maneno yatakayobeba sauti ya muhusika and not just sauti...unaelewa wewe; au unakurupuka tu?! Kwamba, utengeneze video yenye urefu beyond 5 minutes ikiwa na sauti ya muhusika huku akizungumzia jambo lenye mtirirko unaoeleweka...hivi unaelewa kinachoongelewa hapa?! Na ndio maana nikakuambia manipulated videos nyingi kama sio zote zenye sauti ya muhusika huku zikibeba ujumbe unaoeleweka haziwezi kwenda beyond 5 minute achilia mbali ya Lwakatare iliyochukua 19 minutes. Kama unayo hiyo manipulated video ambayo imeenda beyond that much huku ikiwa na sauti halisi ya muhiska; weka hapa tuisikie!! By the way, wakurupukaji wenzako kama wewe nimewapa changamoto kwamba wai-manipulate ile ya Lwakatare na tumuone Nchemba hapa na suati yake ile ile ya Nchemba lakini akiongelea aliyoongea Lwakatare...! Kama ni simple, create hiyo video kisha weka hapa otherwise, nyamaza coz' hujui unachoongea.

very perfect ufinyu mdogo wa technologia kwa waTz wengi ndio unachangia wao kuyumbishwa yumbishwa.kama huyo anae sema katuni wanatengenezewa sauti. Wanao ongea kwa niba ya katuni ni mactor kinachofanyika ni yule katuni kufungua mdomo kamamaneo walio ya andaa kwenye script cartoon yoyote unayo skia ni recorded voiceza badhi ya mactor walasio zakutengeneza

Kweli huwezi kuwa naclip zaid ya 5mins kwa mtiririko ule ule
Watanzania mkika ibternet msi ishie tu jf tafuteni namambo mengine yata wasaidia so mnadanganya na kupelekwa pelelekwa kwa maslai ya watu sauti ni yalwakatare hakuna cha faje wala nini
huyo anedai imerikodiwa bar nadhani hujawai fika mazingira ya maka makuu ya chadema ukayaona ilikuwa ni nyumba ya kuishi ikageuzwa ofisi yani reception ya chadema utafkir unaingia nyumbani kwa mtu meza tu ndio zina onesha ni ofisi oposite na ofisi upana wa mita 15 au 10 ni guest house inayo itwa manhatan nyumba ndani ni ya njano kama kwenye video hakunacontrol ya movment kwenye hiyo ofisi iaipokuwa siku kuna wakubwa
Mta wa pili kuna ofisi mpyaya chadema na duka lao angalau nfio ogisi nzuri kuliko makao makuu nayo ilikuwa nyumba ya mtu hzi za quater ndio imebadiliswa kuwa ofisi msiwe.kwa hyo we unae sema imerikodiwa bar upo wrong sana fika ofisni kweu upaone palivyo hvyo na makelele ya watoto na magari
 
huyu jamaa amefanya mambo ya kigaidi marekani wako wapi
 
pale mwanzo wanapoambiana maswla ya MIC ndo pomenifurahisha kabisa ,just a matter of :clock:
 
Hiki chama cha kijani kitakua kimewapumbaza wengi sana nchini. Tena cha ajabu hata wanaojiita eti ma-great thinkers nao wanapumbazwa na hiki Chama. Hii inasababisha hata maendeleo kuchukua muda sana nchini kwa vile tu kuna watu wanashabikia uozo uliopo nchini, hawataki mabadiliko.

Eti mtu anatokea na kudai haiwezekaniki kulisha maneno clip ya dakika 5. Hawafahamu kama watu wanaangalia tamthilia za kina MARA & CLARA zimerekodiwa Ki-philipine na kulishwa maneno ya Kiengereza zinafikia mpaka Episodes zaidi ya 30 na zote huwezi kujua kama ni maneno ya kulishwa, sembuse vidakika 20 vya Bukoba Boy?

Funguka akili Ndugu, hata kama unalipwa lakini jaribu ku-act basi ki-great thinker japo kwa muda tu.
Yaani kwa mfano uliotoa tu tayari unadhihirisha wala hufahamu kinachoongelewa....yaani mwenyewe umeona umetoa bonge la ushuhuda?! Nani amebisha kwamba video clip hailishwi maneno?! Mie nimeshafunguka, ila wewe ndie unahitaji kufunguka macho!!

KInachozungumzwa hapa sio kulishwa maneno....kinachozungumzwa au ninachozungumza ni kufanya voice match; umenielewa?! Kwamba, leo hii uchukue video ya Obama, kisha umlishe maneno ambayo kimsingi hakutamka yeye, lakini sauti iwe ile ile ya Obama..UMEELEWA BANDUGU?!

Na ndio maana, nikakuambia wazi kwamba ku-fake sauti si kazi ndogo na video/audio zote ambazo zimekuwa faked but with perfect voice match zinakuwa ni fupi….in most cases zinakuwa less than 5 minutes. Ugumu ni kwavile ili uweze kufanya hicho kitu effectively, ni lazima uwe unaunganisha various audio clips za muhusika and not otherwise unless awepo mtu anayeweza kuigiza sauti yake kwa 100%. So how do you join those audio clips….Kwa mfano, mathalani mtu alitaka Lwakatare atamke "Hakikisha ukishamtia mikononi yule Msacky, basi hapo hapo mpige risasi!" So, kupata mtiririko kama huo ni lazima upate audio clips za Lwakatare ambazo ndani yake ametamka maneno kama hayo na kisha uunganishe hizo clips. Kwa mfano labda kuwe na audio files zenye sentensi zifuatazo:

1. Mpeleke mtoto stendi na hakikisha ukishamtia kwenye gari tu wewe rudi……
2. Baada ya kufika polisi nikakuta ametiwa mikononi yule mwizi anayetususumbua hapa…..
3. Amini usiamini, kati ya wahariri hodari, Msacky ni mmoja wao
4. Baada ya kuhangaika sana, nikaona basi hapo hapo ni bure nipumzike….
5. Kama kuna nguruwe anaharibu mazao, mpige risasi tu asije akazidi kukutia hasara….

Hivyo basi, ili kuweza kumlisha maneno sawa na BLUE COLORED sentensi with exact voice match, ni lazima uwe ume-review different audio files za (say)Lwakatare ambazo ziwe zinafananafana sawa na sentence 1 to 5 hapo juu. Utakachofanya wewe, una-copy hayo maneno in RED kisha unatumia maujanja ya kiteknolojia na kutengeneza sentensi moja itakayosikika "Hakikisha ukishamtia mikononi Yule Msacky, basi hapo hapo mpige risasi!" Sentensi kama hiyo, mtu unaweza kuingizwa mkenge na kuzani ndicho alichokisema Lwakatare kumbe kimsingi, hakuna uhusiano wowote na kilichofanyika was just combination of different audio clip files na kuunda one complete and logical sentence! Na kwa kuwa ni kazi sana mtu kupata mtiririko kama huo, ndio maana utakuta manipulated videos/audios with perfect voice match zinakuwa fupi sana….na sio kama ile ya Lwakatare ambayo ni zaidi ya robo saa!!

However, mtu unaweza kum-set up kwa leading questions ili upate majibu yatakayotoa desired audio clips….Na kama ulivyoona, katika sentensi ya maneno kumi, unaweza kujikuta unachukua neon moja tu. So, kwa clip ambayo imeenda beyond robo saa itakuwaje?!

So, hapa issue sio kumtia mtu maneno kama ambavyo unadai, issue ni kumtia maneno lakini sauti iwe yake yeye mwenyewe na sio mfano wako wa Tamthilia za Kifilipino simply because, wale zinazosikika sio sauti zao!
 
mkuu ushawahi angalia tamthiliya za Wafilipino? Angalia Star Tv ipo inaitwa Mara Clara. Au ile Maudodo ya wachina? Fikiria upya
Nyakageni,
Huo mfano wa tamthilia za Kifilipino ni tofauti sana, tena sana! Nimetoa ufafanuzi wa nini hasa kinachozungumzwa...pitia post #573 ili uone ni namna gani mnavyokuwa off-target mnapotoa mfano wa tamthilia za Kifilipino! Yale a kwenye tamthilia ni kazi ndogo tu ile lakini sio hili la Lwakatare! And am telling, kama ni kweli imetengenezwa, the guy must be genius of all voice manipulators of all time...si kazi ndogo kama mnavyozani!
 
Last edited by a moderator:
Pasco najua wewe ni mfuasi wa magamba lakini nilikuwa nakuchukulia ni mtu mwelewa na asiyeweza kusimama upande fulani kama una makosa/au umefanya jambo lisilo jema eti kwa sababu yu wa upande huo..yawezekana nilikuwa wrong.
Nataka kwenda na wewe one to one na hii conversation nahitaji majibu yako kwa uwazi..I am waiting..maswali megine yanafuatia!!
Mkuu Kalumbesa, kwa vile umeanza kwa kueleza kuwa unajua mimi ni mfuasi wa magamba, inamaana wewe unanijua kuliko hata mimi mwenyewe ninavyojijua, hivyo sikuona haja ya kujibu maswali yako yoyote kwa sababu hata majibu yangu utakuwa unayajua!.
Kwa taarifa tuu, mimi Pasco wa jf, sio mfuasi wa CCM, tatizo la wengi humu jf, wanadhani usipokuwa CCM basi lazima uwe mfuasi wa Chadema!. Kwa vile mimi Pasco wa jf, sio mfuasi wa Chadema, basi ndio mna conclude lazima mimi ni CCM!.

Siku zote, nimekuwa nikisema humu kuwa mimi sina Chama, sina upande, sina unafuasi, bali ninaunga mkono watu wazuri wenye uwezo bila kujali vyama vyao, ndio maana kwa Chadema, namuunga mkono ZZK, the guy is good for Tanzania not for Chadema alone!. Kwa CCM, namuunga mkono EL as "the one and only!" japo its very unfortunately he is not "the chosen!".

CCM wakifanya makosa huwa nawasema, na Chadema wakichemsha pia nawasema!. Tatizo ni Chadema inapokosea!, kuna wafuasi wengi wa Chadema humu jf, na baadhi yao sio tuu wanaishabikia Chadema, bali wanaiabudu kufikia kiwango mtu yoyote atakaye kosoa chochote kuhusu Chadema, kwao inaonekana amefanya dhambi!, wanamshukia kwa nguvu zote with all sort of names including "gambaz!.

Kwa kuanzia tukubaliane not calling each other names za gambaz au gwandaz halafu nijibu maswali yako!.

Pasco.
 
Machadema bana! Usiwe na akili za samaki. Mwenzako anayeitwa master peace ananiambia nimekimbia umande.

Ndio nilikuwa namjibu mimi na viongozi wake wa kitaifa wa chama chake ni nani aliyekimbia umande?

Kawaida yangu ninajibu ninachoulizwa, simungúnyi maneno.

Wamekimbia shule lakini wana madhara kuliko wenye Phd feki na Dk.za kupewa
 
Je aliyepost hii Clip ya Rwakatale amekamatatwa ama bado? Kama amekamatwa ni nani? Na kama bado kukamatwa ni kwanini?
Nimeingali clip, ila kwa maelezo ya chini ya ufafanuzi wa clip hile ukiyasoma vizuri na ukatumia kichwa kwa ufasaha utagundua kwamba yanawiana sana kwa kiwango kikubwa na mtiririko wa speech za katibu wa Itikadi wa chama furani!
Jaribu kuangalia clip zake za katibu huyo anapoongea na ufananishe na maelezo ya yaliyokuwa kwa clip hiyo utagundua kuwa yana mtiririko uleule wa speech zake!
 
Mkuu Kalumbesa, kwa vile umeanza kwa kueleza kuwa unajua mimi ni mfuasi wa magamba, inamaana wewe unanijua kuliko hata mimi mwenyewe ninavyojijua, hivyo sikuona haja ya kujibu maswali yako yoyote kwa sababu hata majibu yangu utakuwa unayajua!.
Kwa taarifa tuu, mimi Pasco wa jf, sio mfuasi wa CCM, tatizo la wengi humu jf, wanadhani usipokuwa CCM basi lazima uwe mfuasi wa Chadema!. Kwa vile mimi Pasco wa jf, sio mfuasi wa Chadema, basi ndio mna conclude lazima mimi ni CCM!.

Siku zote, nimekuwa nikisema humu kuwa mimi sina Chama, sina upande, sina unafuasi, bali ninaunga mkono watu wazuri wenye uwezo bila kujali vyama vyao, ndio maana kwa Chadema, namuunga mkono ZZK, the guy is good for Tanzania not for Chadema alone!. Kwa CCM, namuunga mkono EL as "the one and only!" japo its very unfortunately he is not "the chosen!".

CCM wakifanya makosa huwa nawasema, na Chadema wakichemsha pia nawasema!. Tatizo ni Chadema inapokosea!, kuna wafuasi wengi wa Chadema humu jf, na baadhi yao sio tuu wanaishabikia Chadema, bali wanaiabudu kufikia kiwango mtu yoyote atakaye kosoa chochote kuhusu Chadema, kwao inaonekana amefanya dhambi!, wanamshukia kwa nguvu zote with all sort of names including "gambaz!.

Kwa kuanzia tukubaliane not calling each other names za gambaz au gwandaz halafu nijibu maswali yako!.

Pasco.

OK Kama unayoyaeleza hapa ni kwa dhati kwamba wewe si mwana CCM, basi I take back my word,wewe sio gamba..ila kwa sababu umesimamia upande wa ile video kuwa ni genuine,hilo halikuzuii kujibu yale maswali hata ungekuwa CHADEMA..Hivyo nasubiri majibu yako
 
Kwa kutumia Cyber link Power Director v11 nimebaini hii video ina vipande 11 vilvyoungwaungwa, alafu mwandaaji alipoingiza sauti akaiweka mono badala ya stereo akijua kwamba akiiacha stereo itagundulika kwakua hata kwenye VHS tape iliyofanyiwa dubing ukipeleka hiyo tape kwenye deck ya 6head inakupa sauti zote.
Niamefuatilia kwa umakini vipande vyote nimegundua dakika ya 17:59 sauti na movement za lips ni tofauti kwa wanaojua phonology wanaelewa .
Ushauri kwa viongozi wa Chadema wagharamike kupata mtaalamu wa video spriter tofauti na hapo Malengo ya Hawa watu ni kuwavuruga.
Kuna kitu nimekihisi hata kuchelewa kwenda mahakamani wanahangaika jinsi ya kulink hiyo video na Lwakatare baada ya kuona kuna watu mitandaoni wameichambua vizuri.
Jambo la mwisho Nawaomba viongozi wa CHADEMA muwe makini sana hizi ni ishara tosha kuwa mnawindwa.Kuna kitu inaitwa Cloud files hakikisha mnatengeneza Account huko na Mtuze vedeo zote za matukio dalimu mliyofanyiwa hayo ni mtaji mkubwa 2015 maana mtaeleweka kirahisi kwa ushahidi dhahiri.
 
Nyakageni,
Huo mfano wa tamthilia za Kifilipino ni tofauti sana, tena sana! Nimetoa ufafanuzi wa nini hasa kinachozungumzwa...pitia post #573 ili uone ni namna gani mnavyokuwa off-target mnapotoa mfano wa tamthilia za Kifilipino! Yale a kwenye tamthilia ni kazi ndogo tu ile lakini sio hili la Lwakatare! And am telling, kama ni kweli imetengenezwa, the guy must be genius of all voice manipulators of all time...si kazi ndogo kama mnavyozani!
ndugu NasDaz hata usiendele kuangaishana na watu weupe kama hawa wanojiona ma thinker wa ache wabakie na ujinga wao yani mtu ana fananisha video yenye script na video isio na script next time usipoteze muda kuwajibu wache wafe na upuzi wao una waambia kitu kitalamu wao wanalazimisha kile wanacho kijua tu ndio kiwe OK.Tamthilia inayo script actor anajua maneno ya kuongea na hata translators wanajua maneno ya kutranslate.,video ya lwakatatre haina script ile tena kwa udadisi wangu nlio ufanya ofisini mwao juzi idara ya intelijensia ya Chadema hutoa ripoti kwa njia ya video na mandishi so ina wezekana lile neno Mic lililosikika mwanzoni ilikuwa wanarikodi kwa ajili ya kutolea report. Inawezekana wali sahau kuiharibu au ime ibiwa waliko kuwa wame hifadhi (Mtizamo tu) Ma great thinker weupe
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeshangazwa saaaana na jinsi jambo la kijasusi lilivyoratibiwa katika mazingira yasiokuwa na privacy, watu wanapita pita wanaongea, watoto wanalia n.k. No ni vyema ukawa suspicious unaweza kufanya utafiti zaidi, badala ya kuamini 100% na kukufanya usifanye uchunguzi zaidi.

Anyway ukweli utabainika.
 
Back
Top Bottom