Bado maswali ni mengi,
hivi aliyerekodi ni yupi? Ni yule aliyekuwa akiongea nae au kuna mtu alikaa pembeni?
Kama Lwakatare anahusika katika mauaji yawezekanaje kwamba hajui hata bei ya dawa za kuwafanya maadui zake wasinzie?
Kama anahusika kwa kibanda, ina maana hao watu wake hawakumtii?
na mwisho Mwigulu alitamka ana mkanda wa mauaji wa Chadema yawezekana vipi kwamba wao waendelee na mipango yao kama kwamba hawajui mipango yao iko mikononh mwa adui zao?
ukweli bado nina maswali, nahisi majasusi wameingia na nguvu kubwa kama ile ya visu vya cuf mwaka 2010, ole wao wakishindwa! Wamekwisha!!
hivi aliyerekodi ni yupi? Ni yule aliyekuwa akiongea nae au kuna mtu alikaa pembeni?
Kama Lwakatare anahusika katika mauaji yawezekanaje kwamba hajui hata bei ya dawa za kuwafanya maadui zake wasinzie?
Kama anahusika kwa kibanda, ina maana hao watu wake hawakumtii?
na mwisho Mwigulu alitamka ana mkanda wa mauaji wa Chadema yawezekana vipi kwamba wao waendelee na mipango yao kama kwamba hawajui mipango yao iko mikononh mwa adui zao?
ukweli bado nina maswali, nahisi majasusi wameingia na nguvu kubwa kama ile ya visu vya cuf mwaka 2010, ole wao wakishindwa! Wamekwisha!!