Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

Hakuna kitu cha namna hiyo! uwezo wako wa kuanalyse ni mdogo sana. Kutengeneza phonology is very easy na is not that expensive kama unavyofikiri. Angalia cartoons zinazotengenezwa wanyama au mimea inapoongea na kuendana sambamba na midomo ya kinachozungumza. Wadhani hilo haliwezekani? kupanga mauaji ktk surroundings zinazoonekana hazina uhalisia.
Sasa mwenye uwezo mdogo wa ku-analyse hapa nani; mimi au wewe?! Yaani kwa akili yako the issues is as simple as kutengeneza animation?! Una hali mbaya sana ya ufahamu!! Kwani ile sauti ya katuni ni yake mwenyewe?! Hivi unaelewa maana ya ku-link similar voice?! Unaweza ku-fake hata lips vibration, hapo hakuna tatizo!! tatizo linakuja pale katika utiaji wa maneno yatakayobeba sauti ya muhusika and not just sauti...unaelewa wewe; au unakurupuka tu?! Kwamba, utengeneze video yenye urefu beyond 5 minutes ikiwa na sauti ya muhusika huku akizungumzia jambo lenye mtirirko unaoeleweka...hivi unaelewa kinachoongelewa hapa?! Na ndio maana nikakuambia manipulated videos nyingi kama sio zote zenye sauti ya muhusika huku zikibeba ujumbe unaoeleweka haziwezi kwenda beyond 5 minute achilia mbali ya Lwakatare iliyochukua 19 minutes. Kama unayo hiyo manipulated video ambayo imeenda beyond that much huku ikiwa na sauti halisi ya muhiska; weka hapa tuisikie!! By the way, wakurupukaji wenzako kama wewe nimewapa changamoto kwamba wai-manipulate ile ya Lwakatare na tumuone Nchemba hapa na suati yake ile ile ya Nchemba lakini akiongelea aliyoongea Lwakatare...! Kama ni simple, create hiyo video kisha weka hapa otherwise, nyamaza coz' hujui unachoongea.
 
kuhusisha kwao ni kwa sababu tuhuma za Lwakatare ni kupanga mauaji,amekamatwa na Ilunga amewachochea watu wawaue viongozi wa kanisa katoliki na kweli wawili wamepigwa risasi Zanzibar, mmoja amejeruhiwa mwingine amefariki.Kwa uelewa wako kwa kigezo cha Lwakatare huyu hastahili kukamatwa?
Kuhusisha imani ya Lwakatare kuwa kama angekuwa muislamu watu wangesema sana huo ni upotoshaji,uzandiki na unafiki wa kiwango cha juu.
Angalia mtiririko wa mjadala huu watu wote makini humu ndani wanapingana lkn hoja zao ni za kisiasa kutuchomekea udini si haki
Unaona unavyojikanganya...na ndio maana nimekuambia mapema kwamba uwezo mdogo!! Umesema kwamba video ya Lwakatare ni fake lakini hapa unasema ya Lwakatare na Ilunga ni sawa simply because hata Ilunga alihamasiha mauaji!! Sasa unakataa nini na unakubali nini?!

halafu ulivyo mfinyu wa kuelewa wala hufahamu tofauti kati ya KUPANGA & KUCHOCHEA! Lwakatare anapanga na kuagiza mtu/watu mahsusi kutekeleza mpango wake....Ilunga amemwagiza nani?! Ni mtu mpumbavu tu ndie anaweza kuhusisha suala la Ilunga na Lwakatare. Na watu tusioshikiwa akili kama wewe, hata hilo la Ilunga tulilipigia kelele kama hili la Lwakatare!! Ulivyo mpuuzi unalazimisha kuleta suala la udini wakati mimi ndo nilikuwa napinga kuhusisha udini. Narudia, kama huna hoja, u better shut up!
 
be a great thinker wange weka kwenye good quality ingejulikana yakutengeneza kwa kila mtu ,na kuhusu content zilizo ongelewa hazijawekwa kali ili kuonyesha kua sio makini
Tangu lini CCM wakawa na uswahiba na CHADEMA?! Wakipata nafasi, wanabutua tu....!! INgejulikana vipi ya kutengeneza kama kila kitu kinakuwa well framed?!
 
Waandaaji wa Clip ya Lwakatare mmekosea sana kwenye kuandaa Clip yenu, mengi yamesemwa mfano mwanzo kabisa(00:00 "waandaaji mnaulizana HAPO,, MIKE, Pia mbele kidogo mnaambizana-TUTA NOTE TENA HAPO (00:4), wakati kijana anaepewa maelekezo akisema tutanote tena hapo Lwakatare haoneshi ishara yoyote kuwa kuna kitu wamekosea na wata note tena


Kosa kubwa ambalo mmefanya, ukifika karibu na mwishoni yaani 17:59, Lwakatare anaonekana kusema" UNAMTRACE, KAMA ANA MABIBI?. Katika hali yoyote ile ukitamka neno MABIBI lazima lips zikutane mara mbili. Mtazamaji weka slow motion utaona Midomo ya Lwakatare haikutani kabisa, anaongea vitu vingine kabisa, neno BIBI ni lazima lips zikutane katika hali yoyote ile. Hapo usalama wa CCM mmechemka

Lakini unavyokwenda mbele utaona kabisa lips na sauti vimepotezana kabisa

CCM na Serikali yenu iliyojaa kashfa za ufisadi na umwagaji damu, sasa mnaanza kutapatapa. Mwanzoni mlinunua kifaa cha kugushi meseji kutoka Israel bahati nzuri mkasingizia kuwa mmepokea meseji za vitisho kutoka CHADEMA, kutokana na ujinga wenu tukawagundua. Sasa mmeandaa CLIP ya uongo.

Mkae mkijua CHADEMA ni chama chenye wafuasi wengi, tunachukizwa sana na vitendo vya Usalama wa taifa kuandaa Clip za kujiosha harufu ya uuaji wa watanzania. Kumbukeni kuwa hii dunia kama haki haitendeki iko siku tutamwagana damu. Duniani hakuna mbabe, hata wewe ni usalama wa taifa lakini kama hakuna haki iko siku tutauana. Nyie endeleeni kumfanyia LWAKATARE USANII IKO SIKU MTAJUA
 
NasDas habari yako mkuu, naomba nikukumbushe tu ufup wa video ya Obama haimaanish walioiandaa walishindwa kwenda zaid ya hapo. Hiyo iliandaliwa specifically for that short event. Kutoshabihiana kwa sauti ile pia haimaanish utaalam ndo uliishia hapo au that should always be the case, we have not been told yet, kuwa that was the best case scenario. Ile video iliwekwa kuelezea kuwa Technologia ya kulishana maneno ipo hapa dunian ingawa sikusema kuwa Lwakatare kalishwa maneno, naiman post ile bado inasomeka vzr.
Pamoja Mkuu wangu Patriote
Kimsingi, clip ya Obama ina-base kwenye lip vibration faking! Unajua kwanini? Some years before, hii teknolojia ya kulisha maneno ilikuwepo lakini ilikuwa na weakness kubwa kwenye lips vibration! Kwamba, unakuta mtu anaongea lakini ukiangalia kwa makini, lips movement na maneno vilikuwa vinapishana!

Mkuu wangu, asikudanganye mtu....ku-fake hadi sauti si kazi ndogo...possible just for short time clips.....lakini sio u-fake video na ikaenda hadi dakika 10....si rahisi unless pawe na mtu ambae anaweza kuigiza sauti ya muhusika kwa 100%! Clips nyingi ambazo zinakuwa na real voice, huwa zinafanywa kwa kuungaunga audio clips huku ukihakikisha unatengeneza mtiririko muafaka wa content. So, katika hilo la kuunga unga audio clips ndipo unapokuja ugumu wa kutengeneza video au hata audio yenye dakika nyingi! We unafikiri wakati ule Osama akitoa video, CIA walikuwa wana-authenticate nini?! Wanaenda ku-match sauti na available audio clips kwenye library zao! Na kama mambo yangekuwa rahisi kiasi hicho, fabricated criminal scenes zingekuwa nyingi duniani!!
 
Last edited by a moderator:
Watanzania wa leo sio wa mwaka 47! Mwigulu, Nape na Riz kawaambieni CCM wenzenu mjipange upya, hii imeshindikana.

MWIGULU awe na video ya CHADEMA kupanga mauaji halafu aishie kusema tu bila kuipeleka mahakamani haiwezekani. Pili, kuhusu hii clip (ya kipuuzi kabisa) mwanzo hadi mwisho kamera imeelekezwa kwa huyo ''Lwakatare" wenu bila kuonesha alikuwa na akina nani ambo mmewaita "vijana wake".

Kwa nini huyo BUKOBA BOY asiipeleke polis hiyo clip ameishia kuiweka you tube? anaogopa kuumbuka. Kwa taarifa yenu hata polis wanawachekeni!!

Aluta continua...........

People's.................
 
CCM wamesha wafanya Watanzania ni WAFU

Lakini safari hii naona Mungu kawafanya hadi vipofu waone! Aibuuuu eti chama tawala mnachonga video feki kuchonganisha wananchi wenu wanao lipa kodi mnazotanulia??..
 
Unaona unavyojikanganya...na ndio maana nimekuambia mapema kwamba uwezo mdogo!! Umesema kwamba video ya Lwakatare ni fake lakini hapa unasema ya Lwakatare na Ilunga ni sawa simply because hata Ilunga alihamasiha mauaji!! Sasa unakataa nini na unakubali nini?!

halafu ulivyo mfinyu wa kuelewa wala hufahamu tofauti kati ya KUPANGA & KUCHOCHEA! Lwakatare anapanga na kuagiza mtu/watu mahsusi kutekeleza mpango wake....Ilunga amemwagiza nani?! Ni mtu mpumbavu tu ndie anaweza kuhusisha suala la Ilunga na Lwakatare. Na watu tusioshikiwa akili kama wewe, hata hilo la Ilunga tulilipigia kelele kama hili la Lwakatare!! Ulivyo mpuuzi unalazimisha kuleta suala la udini wakati mimi ndo nilikuwa napinga kuhusisha udini. Narudia, kama huna hoja, u better shut up!

kuhusu Lwakatare ni tuhuma ambazo kazijakuwa proven let alone kutengenezewa mashtaka,ww unataka watu humu tukubaliane kuwa ni genuine.Sina uzoefu wa kutengeneza video lkn angalia post zinazokosoa utengenezaji,hata motives maana kuna majuha wana link na tukio la Kibanda.
Hata waliopost mtandaoni ni mystery na kwa polisi wasimtafute na kumhoji,yet tusiokubali kirahisi utuambie tuna akili za kushikiwa.Ok tulianza kusikia kwa Mchemba kuhusu hii Video na ni yeye aliyetoa tuhuma kuhusu sms za vitisho bungeni,imeishia wapi?
Umefunga akili yako kutushawishi na tusiangalie upande mwingine wa shilingi.
Kumbuka mjinga hupenda kufuta ujinga kwa kujifunza vitu asivyovijua lkn ogopa mpumbavu,yeye kapumbaa na kujiona anajua sana na wengine hawajui hata asichokijua hujiona anajua.Sijui we uko kundi gani?Mwisho nimeamua kukubaliana nawe ile ni video halisi,au unasemaje?
 
kuhusu Lwakatare ni tuhuma ambazo kazijakuwa proven let alone kutengenezewa mashtaka,ww unataka watu humu tukubaliane kuwa ni genuine.Sina uzoefu wa kutengeneza video lkn angalia post zinazokosoa utengenezaji,hata motives maana kuna majuha wana link na tukio la Kibanda.
Hata waliopost mtandaoni ni mystery na kwa polisi wasimtafute na kumhoji,yet tusiokubali kirahisi utuambie tuna akili za kushikiwa.Ok tulianza kusikia kwa Mchemba kuhusu hii Video na ni yeye aliyetoa tuhuma kuhusu sms za vitisho bungeni,imeishia wapi?
Umefunga akili yako kutushawishi na tusiangalie upande mwingine wa shilingi.
Kumbuka mjinga hupenda kufuta ujinga kwa kujifunza vitu asivyovijua lkn ogopa mpumbavu,yeye kapumbaa na kujiona anajua sana na wengine hawajui hata asichokijua hujiona anajua.Sijui we uko kundi gani?Mwisho nimeamua kukubaliana nawe ile ni video halisi,au unasemaje?
Hao unaowasema hawaleti ushahidi kwamba video sio genuine bali wanaleta online tutorials kuonesha kwamba videos can be manipulated....hizi ni hoja dhaifu!!! By the way, hakuna hata mmoja ambae ametoa video ya Mr.X akizungumza exactly kwa sauti ya Mr. Y. Unasema umeamua kukubaliana na mimi?! Aisee, mie nakubaliana na watu wenye uwezo wa kuchambua mambo na sio kusukumwa na ushabiki bendera fuata upepo kama wewe!!! Humu kuna magwiji wanaoijua CHADEMA kuliko wewe mshika jezi lakini wapo very sensitive katika kukanusha coz' wanajua mabo mengine hayakanushiki unless uwe na akili za matope!
 
Kosa kubwa ambalo mmefanya, ukifika karibu na mwishoni yaani 17:59, Lwakatare anaonekana kusema" UNAMTRACE, KAMA ANA MABIBI?. Katika hali yoyote ile ukitamka neno MABIBI lazima lips zikutane mara mbili. Mtazamaji weka slow motion utaona Midomo ya Lwakatare haikutani kabisa, anaongea vitu vingine kabisa, neno BIBI ni lazima lips zikutane katika hali yoyote ile. Hapo usalama wa CCM mmechemka

Mkuu hapa umenishika
 
Hao unaowasema hawaleti ushahidi kwamba video sio genuine bali wanaleta online tutorials kuonesha kwamba videos can be manipulated....hizi ni hoja dhaifu!!! By the way, hakuna hata mmoja ambae ametoa video ya Mr.X akizungumza exactly kwa sauti ya Mr. Y. Unasema umeamua kukubaliana na mimi?! Aisee, mie nakubaliana na watu wenye uwezo wa kuchambua mambo na sio kusukumwa na ushabiki bendera fuata upepo kama wewe!!! Humu kuna magwiji wanaoijua CHADEMA kuliko wewe mshika jezi lakini wapo very sensitive katika kukanusha coz' wanajua mabo mengine hayakanushiki unless uwe na akili za matope!

mi mshika jezi wa chadema we wa Mwigulu,wala mi si wa kwanza na pekee kuikanusha video yako na Mwigulu,maana kama kuikanusha ni chadema basi kuipigia upatu ni Gamba.
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa sakata la lwakatare kwenye video inayoonesha mh. lwakatare akipanga MBINU CHAFU. sasa ninajiuliza, kama hii videoa imefanyiwa BAD LIP READING, ni lazima kutakuwa na original video ambayo waliirekodi, ambayo inaushahidi wa kimazingira na kimatamshi. mfano zile za akina obama ''inauguration video" zipo halisi na zilizofanyiwa "BAD LIP READING" Kama ipo video ambayo inaonesha maneno halisi ya lwakatare na siyo hayo ya kutengeneza, sasa basi ili kuweka mambo sawa na kuwaumbua hao watengenezaji waiachie na hiyo original. ni hayo tu.
 
Ingekuwa umefuatilia vizuri post zangu ungegundua kwamba sijakataa uwepo wa hiyo teknolojia.....hoja yangu wangu ni kwamba, huwezi ku-link a real voice kwenye video ikaenda beyond 5 minutes! Umeangalia hiyo ya Obama? Ni ya dakika ngapi? Umesikiliza vizuri hiyo sauti?!
Hiki chama cha kijani kitakua kimewapumbaza wengi sana nchini. Tena cha ajabu hata wanaojiita eti ma-great thinkers nao wanapumbazwa na hiki Chama. Hii inasababisha hata maendeleo kuchukua muda sana nchini kwa vile tu kuna watu wanashabikia uozo uliopo nchini, hawataki mabadiliko.

Eti mtu anatokea na kudai haiwezekaniki kulisha maneno clip ya dakika 5. Hawafahamu kama watu wanaangalia tamthilia za kina MARA & CLARA zimerekodiwa Ki-philipine na kulishwa maneno ya Kiengereza zinafikia mpaka Episodes zaidi ya 30 na zote huwezi kujua kama ni maneno ya kulishwa, sembuse vidakika 20 vya Bukoba Boy?

Funguka akili Ndugu, hata kama unalipwa lakini jaribu ku-act basi ki-great thinker japo kwa muda tu.
 
Back
Top Bottom