Kasi ya kupeleka umeme vijijini imepungua sana, kulikoni?

Kwani mkutano mmoja kama huu unatugharimu sh. ngapi? Labda tuanzie hapo. Hela hizo zingetosha kupanda miti mingapi inayoweza kunyonya gesi chafu?

Ndugu zangu we have to think globally and act locally, na sio to think locally and and act globally.
Correct
 
Hii inaonyesha namna kusambaza umeme vijijini inavyopaswa kuwa kipaumbele Cha kupambana na uharibifu wa mazingira. Umeme unachochea Kasi ya maendeleo ya kiuchumi, kielimu, kiafya, kijamii na kimazingira pia. Tuache kutumia hela kwenye sherehe, safari na misamaha ili tumalize kwanza kero za maji, umeme, elimu, na afya ambazo zimewaganda wanyonge kama fulana kwa miaka 60 Sasa hata baada ya Uhuru. Miaka 60 bro ni mingi sana kwa watu kukosa umeme na maji. Miti mingi sana imepotea kwa kosa hili.

Tumeambiwa Kuna Kodi kwenye mafuta na miamala ya simu ili kumaliza shida hizi kwa Kasi lakini sioni idadi ya vijiji vinavyopata umeme ikiongezeka kwa kasi, badala yake tunaona Kasi ya safari TU.

Tungesifiwa na kupigiwa makofi mengi sana na dunia nzima kwenye mikutano kama kiongozi wetu atasimama na kusema ili kupambana na uharibifu wa mazingira Tanzania imefanya yafuatayo:

1. Imesamba umeme vijiji vyote (100%) ili kuepusha miti kukatwa kwaajili ya nishati.
2. Inajenga bwawa la umeme wa kutumia maji (hydro power)
3. Nisambaza maji nchi nzima ili kuepusha watu kuhamahama kutafuta maji ya malisho na majumbani.
4. Nimeshusha bei za umeme na saluji ili kupunguza idadi ya watu wanaojenga nyumba za miti.
5. Nimesambaza gesi yetu itumike majumbani, mashuleni, magerezani na makeshini badala ya kutumia mkaa na Kuni kupikia.

5. Tubabadilisha magari yooote madogo yatumie gesi badala ya mafuta ya diseli na petroli.
6. Tumepiga marufuku matumizi ya vifungaahio vya plastic nchi nzima.
7. Tumeshusha bei ya umeme na gesi ya kupikia ili kuepusha matumizi ya Kuni na mkaa.
8. Tumewapatia pembejeo za kilimo na ufugaji wananchi ili kuepuka kilimo na ufugaji wa kuhamahama.
9. Tumepanda miti hekta kadhaa kurudishia zile zilizoharibiwa na wananchi waliokuwa wakikata Kuni, mkaa, mijengo, kilimo na ufugaji wa kuhamahama.

Hotuba zetu kwenye mikutano zingekuwa kama hivi watu wote wangeduaa na kupiga makofi hadi mikono Yao ipate malengelenge. Lakini unaposema tunapanda miti mingi wakati huohuo wananchi wanakata miti mingi zaidi kuliko uliyopata kwaajili ya kupata mkaa, Kuni, jengo, kilimo na ufugaji wa kuhamahama na mwanga wa kumulikia watu wanakushangaa kwelikweli. Utadhani umeupiga mwingi lakini wanakucheka TU.
Makini sana brother
 
Kila nchi iupige mwingi hukohuko nyumbani kwake katika uihifadhi mazingira kabla ya kulaumu wengine. Sisi tunashindwa hata kuwapangia maeneo wamachinga wanaochafua mazingira. Tunapanda miti michache halafu watu wetu wanakata miti zaidi kutaka kuni, mkaa, na mijengo ya nyumba.
 
Hii inaonyesha namna kusambaza umeme vijijini inavyopaswa kuwa kipaumbele Cha kupambana na uharibifu wa mazingira. Umeme unachochea Kasi ya maendeleo ya kiuchumi, kielimu, kiafya, kijamii na kimazingira pia. Tuache kutumia hela kwenye sherehe, safari na misamaha ili tumalize kwanza kero za maji, umeme, elimu, na afya ambazo zimewaganda wanyonge kama fulana kwa miaka 60 Sasa hata baada ya Uhuru. Miaka 60 bro ni mingi sana kwa watu kukosa umeme na maji. Miti mingi sana imepotea kwa kosa hili.

Tumeambiwa Kuna Kodi kwenye mafuta na miamala ya simu ili kumaliza shida hizi kwa Kasi lakini sioni idadi ya vijiji vinavyopata umeme ikiongezeka kwa kasi, badala yake tunaona Kasi ya safari TU.

Tungesifiwa na kupigiwa makofi mengi sana na dunia nzima kwenye mikutano kama kiongozi wetu atasimama na kusema ili kupambana na uharibifu wa mazingira Tanzania imefanya yafuatayo:

1. Imesamba umeme vijiji vyote (100%) ili kuepusha miti kukatwa kwaajili ya nishati.
2. Inajenga bwawa la umeme wa kutumia maji (hydro power)
3. Nisambaza maji nchi nzima ili kuepusha watu kuhamahama kutafuta maji ya malisho na majumbani.
4. Nimeshusha bei za umeme na saluji ili kupunguza idadi ya watu wanaojenga nyumba za miti.
5. Nimesambaza gesi yetu itumike majumbani, mashuleni, magerezani na makeshini badala ya kutumia mkaa na Kuni kupikia.

5. Tubabadilisha magari yooote madogo yatumie gesi badala ya mafuta ya diseli na petroli.
6. Tumepiga marufuku matumizi ya vifungaahio vya plastic nchi nzima.
7. Tumeshusha bei ya umeme na gesi ya kupikia ili kuepusha matumizi ya Kuni na mkaa.
8. Tumewapatia pembejeo za kilimo na ufugaji wananchi ili kuepuka kilimo na ufugaji wa kuhamahama.
9. Tumepanda miti hekta kadhaa kurudishia zile zilizoharibiwa na wananchi waliokuwa wakikata Kuni, mkaa, mijengo, kilimo na ufugaji wa kuhamahama.

Hotuba zetu kwenye mikutano zingekuwa kama hivi watu wote wangeduaa na kupiga makofi hadi mikono Yao ipate malengelenge. Lakini unaposema tunapanda miti mingi wakati huohuo wananchi wanakata miti mingi zaidi kuliko uliyopata kwaajili ya kupata mkaa, Kuni, jengo, kilimo na ufugaji wa kuhamahama na mwanga wa kumulikia watu wanakushangaa kwelikweli. Utadhani umeupiga mwingi lakini wanakucheka TU.
Ndiyo tatizo la viongozi wengi wa Africa
 
Ni vigumu kusafiri kwenda mbali kusema habari za mazingira kama wananchi bado wanawasha moto wa Kuni ili TU kupata mwanga wa kumulikia usiku kusoma na kupika jikoni.

Kama Mtu hana njia nyingine ya kupika chakula chake lazima awashe moto wa Kuni au mkaa hayo mazingira yatatunzwa namna gani, tunaenda kufanya nini kwenye mkutano wa mazingira wakati gesi yetu asili hatujaielekeza kwenye kupunguza matumizi ya Kuni, mkaa na petroli kwa watu wetu.

Nani ameturoga?

Tusishangae sababu kubwa ni kwamba baada ya kusambaza umeme kwa kasi umeme ulikuwa unapungu sana na kulianza migao!. Hivyo chinichini wanapunguza kasi ya usambazaji ili wapate muda wa kuongeza uzalishaji wa umeme. Umeme tulionao hautoshi!. P, note hii point nafikiri hii ndiyo sababu Pascal Mayalla
 
Mkuu Kamundu , umeniacha juani, ndio sababu ya nini?!.

P

Sababu ya kupunguza kasi ya usambazaji wa umeme vijijini. Yaani nafikiri serikali ilifanya usambazaji kwa kasi kuliko uzalishaji. Kilichotokea ni upungufu wa umeme na kuanza kwa mgao wa umeme kwa sehemu nyingine. Theory yangu ni kwamba kasi ya usambazaji umeme vijijini kupungua ni makusudi kuipa serikali muda wa kuongeza uzalishaji wa umeme kwa ujumla. Wakiendelea kusambaza kwa kasi umeme utaendelea kupungua kama capacity bado ni ndogo. Hii ni theory tu lakini sina uhakika
 
Tusishangae sababu kubwa ni kwamba baada ya kusambaza umeme kwa kasi umeme ulikuwa unapungu sana na kulianza migao!. Hivyo chinichini wanapunguza kasi ya usambazaji ili wapate muda wa kuongeza uzalishaji wa umeme. Umeme tulionao hautoshi!. P, note hii point nafikiri hii ndiyo sababu Pascal Mayalla
Kwahiyo wamesitisha pia tozo za umeme kwenye mafuta na miamala kwaajili ya umeme vijijini? Mbona hakuna feedback kwa wadau kuhusu sababu yako hii?
 
Back
Top Bottom