- Unajua hiki chama na washauri wasio na uwezo kabisa wa kusoma na kuielewa public matokeo yake siku zote wanawashauri namna ya kujimaliza wenyewe to the public, what is this? Hivi nyie Chadema mna washauri gani huko wasioelewa the timing National Politics maana wangekuwa wanajua Political Science wasingeigusa hii topic now,
- Niliandika kwenye Article yangu Jambo Leo, Jumapili mbili zilizopita kwamba Wananchi wa Tanzania hawako tayari kujadili wala hawataki kusikia this kind of ishuz yet na that was very clear wakati wa hii ishu Bungeni, wabunge wa Chadema na wa CCM walisema wzi kwamba hawako tayari na this kind of ishus sasa nani aliyewaambia Cchadema kuirudisha tena hii ishu to the Public badala ya kuongelea uchaguzi watafanya lini?
- Unajua ninasikitika sana jana usiku I had a long sit down na Mwenyekiti lakini nikasahau kumkumbusha this kwamba afukuze kazi mara moja washauri wake huko cause hawamsaidi kabisa wao ndio wanazidi kumdidimiza na this kind of foolish ushauri, Chadema mna only one knockout na shimo la bad publicity mliomo now nayo ni uchaguzi wa Taifa that is it and then you can resume mlipoachia na Taifa, until then wacheni kujitundika na kamba zenu wenyewe this Lissu thing is absolutely foolish and uncalled for, Supposedly Chama kikubwa cha Upinzani Tanzania kinawezaje kwenda kumsafisha Mwenyekiti wake kwenye magazeti ya Udaku na mambo ya uzinzi?
- I meaan foolish and stupid, nani anawashauri huu ujinga mambo yake na uzinzi yalishapita, wananchi walishasahau here you come and bring it back hivi nyie huko mna nini vichwani? Haya mambo waachieni wapambe mtaani Mwanasheria Mkuu wa Chama kikikubwa cha Upinzani Tanzania na Mbunge wa Chama hicho anakwenda kumsafisha MWenyekiti wake Magazeti ya Udaku, hivi kweli nyie ndio tuwape dola kweli? Badala ya kuwa-dscourage wananchi kutosoma magazeti ya udaku nyie mnaenda ku-promote udaku? Really?
- Yaani nasikia kutapika please ngoja nicahie hapa maana nasikia kichefu chefu na this nonsense!!
Le Mutuz