OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
You mean aachwe na uzinzi wake!!!!Magamba. .kuna tofauti kati ya ubakaji vibint vidogo na uzinzi...kapuya ni mbakaji..so muacheni kamanda wetu wa anga mh.mbowe
You mean aachwe na uzinzi wake!!!!Magamba. .kuna tofauti kati ya ubakaji vibint vidogo na uzinzi...kapuya ni mbakaji..so muacheni kamanda wetu wa anga mh.mbowe
Haha! Naona hawaoni tofauti ya Mtu aliyezaa na Mwanamke zaidi ya Miaka 18, Tena anamlea na kumtunza wanafananisha Na wabakaji wanao baka watoto Under 18 huku wakiwaambukiza Ukimwi na kuwatelekeza, Wengine wakipewa zawadi Nyumba Ndogo Mtoto wa Kiarabu.(Umeisahahu hii ya zakiha magji na zawadi ya Uwaziri kwa hisani ya SAS Iringa)
sasa mtaongozaje nchi kama hamna hofu ya Mungu. eti hata kama nina mke hakuna sheria za kunibanatpmazembe,
Huyo mbunge amelalamika? mimi nikielewana na dada yako kwenda kula mambo,hata kama nina mke wewe utapuliza panda ati nimezini? halafu sheria ya dini gani unaelezea?
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.Leo hii wanatetea ya mbowe kukatisha safari ya mbunge wa viti maalum na kumuita dubai jiji la maburudani kwa kusema eti hayo ni "mambo binafsi na yanatakiwa kubaki huko huko chumbani".
Ama kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu.utabambwa tu
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.Leo hii wanatetea ya mbowe kukatisha safari ya mbunge wa viti maalum na kumuita dubai jiji la maburudani kwa kusema eti hayo ni "mambo binafsi na yanatakiwa kubaki huko huko chumbani".
Ama kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu.utabambwa tu
unajua sababu ya mke wa kwanza wa nelson Mandela kuomba kuachana na Mumewe? hapa simzungumzii winnie.Clinton alikuwa impeached, Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala (conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na waasherati.
Tundu Lissu amejishusha.
kwa nini kama mbowe alionewa na mwigulu bungeni kwa nini hakumwambia afute kauli? kama ni uwongo?Kama Kapuya alionewa kwa tuhuma ya kubaka na akaandikwa kwenye hilo gazeti la Mtanzania Daima kwanini Kapuya hakulipeleka hilo gazeti Mahakamani?
![]()
Mkuu, suala la ubakaji kwa Kapuya limeandikwa na Tanzania Daima. Hakuna uthibitisho wowote. Hata watu wengine wanaweza sema kuwa Mbowe naye amebaka kwa kumtishia Joyce Mukya asipomkubalia atamfukuza ubunge wa viti maalumYa kapuya ni ubakaji sio uzinzi!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mkuu, kama ingekuwa ni uongo, najua Mbowe asingekaa kimya. Lazima povu lingemtoka tu. badala yake ametulia tuliii kwa vile yaliyosemwa ni ukweli mtupukwa nini kama mbowe alionewa na mwigulu bungeni kwa nini hakumwambia afute kauli? kama ni uwongo?
Siamini kama ulifatilia ile ishu ya kapuya, na kama ulifatilia sitaki kuiamini kwamba huna akili ya kutofautisha matukio hayo mawili,labda niamini umeamua kujivua akili kwa muda kwa lengo lako binafsi,in short kapuya alibaka na bado anaendelea kumtishia maisha binti aliyembaka Pili amemwambukiza vvu, je Lucy alishawahi kulalamika? Hili ni swali ambalo halihitaji shule ili kujibu,
ndiyo....unajua sababu ya mke wa kwanza wa nelson Mandela kuomba kuachana na Mumewe? hapa simzungumzii winnie.
Actually a lot ... soma.Kobello clinton alikua impeached lini...I think my history is a little bit hazy.
Ni wapi alipo lalamika kama ilivyokuwa kwa kapuya na yule under 18 wake?unauhakika huyo mbunge wa viti maalumu alikubali kwa kupenda au kulazimishwa kama fadhila ya kupewa ubunge? hapa mimi naongelea uzinzi ambayo ni dhambi yao wote maana wote wameacha wake zao nyumbani na kukimbizana na vimada
Mkuu, tunazungumzia ubakaji wa Mbowe kwa Joyce MukyaSheria inasemaje kwa mbakaji tena u.18 halafu yuko mtaani na anakatiza hata mitaa ya fatherhouse. Wakeupman ucttee uharo
Mkuu, kama ingekuwa ni uongo, najua Mbowe asingekaa kimya. Lazima povu lingemtoka tu. badala yake ametulia tuliii kwa vile yaliyosemwa ni ukweli mtupu